Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Mkuu hujachelewa kama unaweza nenda SA Pretoria Sunnyside,Ministry of Export and Trade utapeleka documents za hiyo gari zote kama gari imetengenezwa SA kwa Nchi za SADC wana makubaliano ya kupunguziana kodi utalipa nusu ya kodi uliyoiona kwenye calculator ya TRA ipo kisheria ila TRA ilitakiwa watoe Elimu hiyo mnaosafiri mjue ukikaa kimya ulinalipa zote Mimi Toyota Land cruiser hard top pick up ya 2013 ilisoma 47 Million kodi nilipokuja na documents za SA ikapungua mpaka nusu yake na kule hivyo vibali unapata ndani ya siku tatu...hiyo ni kwa gari zote mpya na used ilimradi iwe ni SA brand sio nao waagize huku upate unafuu hapana...