Gari nimenunua Afrika Kusini Milioni 4, kodi Tanzania Milioni 18!

Gari nimenunua Afrika Kusini Milioni 4, kodi Tanzania Milioni 18!

Mkuu hujachelewa kama unaweza nenda SA Pretoria Sunnyside,Ministry of Export and Trade utapeleka documents za hiyo gari zote kama gari imetengenezwa SA kwa Nchi za SADC wana makubaliano ya kupunguziana kodi utalipa nusu ya kodi uliyoiona kwenye calculator ya TRA ipo kisheria ila TRA ilitakiwa watoe Elimu hiyo mnaosafiri mjue ukikaa kimya ulinalipa zote Mimi Toyota Land cruiser hard top pick up ya 2013 ilisoma 47 Million kodi nilipokuja na documents za SA ikapungua mpaka nusu yake na kule hivyo vibali unapata ndani ya siku tatu...hiyo ni kwa gari zote mpya na used ilimradi iwe ni SA brand sio nao waagize huku upate unafuu hapana...
 
Na pia kutumia bara bara kwa kutumia boarder gharama kubwa inapungua Mimi huwa naendesha mwenyewe kutoka Johannesburg mpaka Tunduma ndio nikiamua kumwita Dereva anakuja na huko naendesha mchana ikifika saa Mbili au tatu nipo kwenye mji nalala hotel napumzika kwa ajili ya kuamka alfajiri na kuondoka...kwa safari ndefu usilale kwenye gari unaendelea kuchoka zaidi maana ukioga tuu ni kama dawa inaondoa uchovu na kuanza upya...
 
Mkuu hujachelewa kama unaweza nenda SA Pretoria Sunnyside,Ministry of Export and Trade utapeleka documents za hiyo gari zote kama gari imetengenezwa SA kwa Nchi za SADC wana makubaliano ya kupunguziana kodi utalipa nusu ya kodi uliyoiona kwenye calculator ya TRA ipo kisheria ila TRA ilitakiwa watoe Elimu hiyo mnaosafiri mjue ukikaa kimya ulinalipa zote Mimi Toyota Land cruiser hard top pick up ya 2013 ilisoma 47 Million kodi nilipokuja na documents za SA ikapungua mpaka nusu yake na kule hivyo vibali unapata ndani ya siku tatu...hiyo ni kwa gari zote mpya na used ilimradi iwe ni SA brand sio nao waagize huku upate unafuu hapana...
Toyota hilux zinatengenezwa SA?
 
Kuna ndugu yangu juzi kaingiza mzgo wa laptops kutoka SA zipo km 20 hivi pamoja na cameras. Jamaa wamempiga kila item moja 100,000/= amebaki analia tu.
Sasa kwa nini aliagiza?
Alokuwa hajui kuwa atakomolewa?
 
Gari ya mwaka gani?gari used ndio zina ushuru mkubwa zaidi mkuu
Siyo kweli mkuu. Fanya utafiti wako upya. Ingiza data za gari mpya kwenye calculator ya TRA na data za gari hiyo hiyo ikiwa used labda miaka kadhaa kisha uone kodi inakuwaje. Kinachoongezeka kwenye kodi ya gari used ni kodi ya uchakavu tuu (kwa asilimia ya bei ya gari used) ambayo siyo kubwa kama asilimia ya kodi inayokokotolewa toka bei ya gari mpya
 
Siyo kweli mkuu. Fanya utafiti wako upya. Ingiza data za gari mpya kwenye calculator ya TRA na data za gari hiyo hiyo ikiwa used labda miaka kadhaa kisha uone kodi inakuwaje. Kinachoongezeka kwenye kodi ya gari used ni kodi ya uchakavu tuu (kwa asilimia ya bei ya gari used) ambayo siyo kubwa kama asilimia ya kodi inayokokotolewa toka bei ya gari mpya
Hili ndilo jibu sahihi mkuu.
 
Umeshaileta? Ukiileta kwa meli, umekwisha. Ukija nayo kwa njia ya bara bara unaiendesha, utaingia nayo free kama chombo cha usafiri na utakaa nayo nchini kwa kibali cha miezi mitatu, renewable for another three. Hata ushuru ukija kulipa, hautafika huko. Ile ni calculator kwa magari yanayotoka Japan, Europe na America, Asia as well.
Kama umeileta kwa meli na umekwama, nishtue nione jinsi ya kukusaidia.
Well said,calculate ya TRA ni cars fro. Japan only .sidhani kama ushuru utakuwa sawa na south Africa.
Nashauri pia afike ofisi za Tra kujua taxe ni kiasi gani.
 
Mkuu hujachelewa kama unaweza nenda SA Pretoria Sunnyside,Ministry of Export and Trade utapeleka documents za hiyo gari zote kama gari imetengenezwa SA kwa Nchi za SADC wana makubaliano ya kupunguziana kodi utalipa nusu ya kodi uliyoiona kwenye calculator ya TRA ipo kisheria ila TRA ilitakiwa watoe Elimu hiyo mnaosafiri mjue ukikaa kimya ulinalipa zote Mimi Toyota Land cruiser hard top pick up ya 2013 ilisoma 47 Million kodi nilipokuja na documents za SA ikapungua mpaka nusu yake na kule hiyo vibali unapata ndani ya siku tatu...hiyo ni kwa gari zote mpya na used ilimradi iwe ni SA brand sio nao waagize huku upate unafuu hapana...
Nimeshukuru sana ndg yangu naamini sijachelewa naanza kushughulikia hii issue now naamini hii msg ni msaada mkubwa sana
 
Unamaanisha nini sijaelewa! Gari ni Toyota hilux double cabin mwaka 2005 haya nipe majibu
Unapoteza muda na huyo jamaa mkuu,ye analipwa buku 7 per day mpk ifike hela ya kununua Hilux unadhani ni leo mkuu?
 
Nimeshukuru sana ndg yangu naamini sijachelewa naanza kushughulikia hii issue now naamini hii msg ni msaada mkubwa sana
Kama ulitumia agent kwa ajili ya kutoka mtumie yeye anawasiliana nao tuu na kama hukulifuta kwenye hiyo wizara unatakiwa ulifute kuonesha limetoka ili usiingie gharama za roadworthy kupanda kila mwaka ni office hiyo hiyo vitu vyote hakuna complication zozote...ile karatasi ya Interpol ni muhimu inayoonyesha Nchi za SADC na DOT...
 
Jamani hii nchi Mungu tu aingilie kati!

Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini dakika unagonga tu kibali kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO!

Yaani Toyota Hilux nimenunua Milioni 4.5 Afrika Kusini calculator ya TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka Tsh. Milioni 18.4!

Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati Afrika Kusini nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!

Hapa kazi tuu
kuna haja ya kuomba uraia nchi jirani, maana mazingira ya nyumbani ni magumu kukua
 
Jamani hii nchi Mungu tu aingilie kati!

Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini dakika unagonga tu kibali kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO!

Yaani Toyota Hilux nimenunua Milioni 4.5 Afrika Kusini calculator ya TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka Tsh. Milioni 18.4!

Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati Afrika Kusini nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!

Hapa kazi tuu
Kwa nini mnajiingiza wenyewe matatizoni halafu mnaanza kulaumu????
Humu ndani kuna mmoja wetu aliwahi kutoa ushauri kuwa, kabla ya kuagiza/kununua gari nje hebu pelekeni hizo stats za gari hilo TRA waweze kuwashauri kuhusu kodi stahili.
Lakini kama kawaida yetu tunalalamika baada ya kujiingiza kwenye matatizo usiyotarajia.
 
***** hawa tra mm nimewachoka kabisa, kuna gari nilituma yaani ughaibuni nimenunua milion mbili za kitz, ***** mi tra inakuja nidai kodi ya milion 8.3 ***** nimechoka na hiyo nchi yenu Sirudi milele
Ulikaa nalo ughaibuni muda gani kabla ya kulileta? Kama ulitumia gari hilo kwa kipindi kilichozidi mwaka mmoja kabla ya kurudi nyumbani hulipi kodi. Hii ni pamoja na vifaa vyote vya nyumbani ambavyo ulikuwa unavitumia huko ughaibuni.
 
Back
Top Bottom