Sera tuliyonayo dhidi ya wananchi ni pasua kichwa .Jamani hii nchi Mungu tu aingilie kati! Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini the moment unagonga tu pass kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO! Yaani hilux Toyota nimenunua mil 4.5 south calculator ya magu TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka m 18.4! Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati south nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!
Hapa kazi tuu
Jamani hii nchi Mungu tu aingilie kati! Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini the moment unagonga tu pass kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO! Yaani hilux Toyota nimenunua mil 4.5 south calculator ya magu TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka m 18.4! Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati south nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!
Hapa kazi tuu
Nimekusoma kaka ndo ishapanda meli mzeeUmeshaileta? Ukiileta kwa meli, umekwisha. Ukija nayo kwa njia ya bara bara unaiendesha, utaingia nayo free kama chombo cha usafiri na utakaa nayo nchini kwa kibali cha miezi mitatu, renewable for another three. Hata ushuru ukija kulipa, hautafika huko. Ile ni calculator kwa magari yanayotoka Japan, Europe na America, Asia as well.
Kama umeileta kwa meli na umekwama, mishtue nione jinsi ya kukusaidia.
Nadhani nimuhimu nitakuona ngoja nimalizane na logistics za awali nikikwama nikuchek kaka maana unaweza uza nyumba kulipa kodi ya gariUmeshaileta? Ukiileta kwa meli, umekwisha. Ukija nayo kwa njia ya bara bara unaiendesha, utaingia nayo free kama chombo cha usafiri na utakaa nayo nchini kwa kibali cha miezi mitatu, renewable for another three. Hata ushuru ukija kulipa, hautafika huko. Ile ni calculator kwa magari yanayotoka Japan, Europe na America, Asia as well.
Kama umeileta kwa meli na umekwama, mishtue nione jinsi ya kukusaidia.
Haya tudhayazoea siku hz ni kutembea usiku tu kama bundi kama unasafiri mbaliBado ujakutana na vehicle na tochi ukiwa barabarani.
Dah...umenikumbusha mbali sana mkuu.Huo wimbo "sisi" huwa tunakuwaga tumevaa makapelo,khanga na mitisheti iliyopauka tunaimba kwa madoido kuwakoga wakinzani wetu nyakati za "mauchaguzi"! Marvelous!Hatunywi sumu
Hatujinyongiiii
Picha ya nini tena? Toyota Hilux ya mwaka 2005 used nimenunua kwa mtu double cabinpicha hiko wapi au unatongoza?????
Ila cha moyo tutakiona!Hatunywi sumu
Hatujinyongiiii