Assumption yangu na uzoefu wangu kdg wa kuagiza magari Japan ninajua nikinunua price a huku hata ikizidi haifiki Mara mbili yake sasa nimeoverlook aina ya gari hilux kumbe ni gari ya starehe bongo!Kwanini hukuchek hio TRA calculator kabla hujaleta hio gari boss?
Hizi pick up huko kwny calculator ya TRA ni very expensive kuliko unavyoweza kudhania,sijui ni kwanini lkn.Assumption yangu na uzoefu wangu kdg wa kuagiza magari Japan ninajua nikinunua price a huku hata ikizidi haifiki Mara mbili yake sasa nimeoverlook aina ya gari hilux kumbe ni gari ya starehe bongo!
Ushauri: kama Gari lipo kwenye meli, na meli umefika bandarini lishushe litumbukize kwenye maji kesi imeishaa! Usengee huu 4.5 mpaka almost 5 times??Jamani hii nchi Mungu tu aingilie kati! Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini the moment unagonga tu pass kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO! Yaani hilux Toyota nimenunua mil 4.5 south calculator ya magu TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka m 18.4! Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati south nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!
Hapa kazi tuu
Ungeweka na kapicha ka hilux ingependezaJamani hii nchi Mungu tu aingilie kati! Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini the moment unagonga tu pass kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO! Yaani hilux Toyota nimenunua mil 4.5 south calculator ya magu TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka m 18.4! Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati south nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!
Hapa kazi tuu
Kweli mkuu mimi nina hilux 12r nilitaka kuiuza ninunue pick up ya 2000 lakin nimepiga mahesabu iliniweze kuifikisha bongo single cabin hilux lazima niwe na zaidi ya 18m ilinipate gari mzuri kodi ni zaidi ya 9m...gari zenyewe bei imechangamka kweli huko japanHizi pick up huko kwny calculator ya TRA ni very expensive kuliko unavyoweza kudhania,sijui ni kwanini lkn.
Ndio maana hatuendelei tunaoneana wivu wa kipumbavuJamani hii nchi Mungu tu aingilie kati!
Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini dakika unagonga tu kibali kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO!
Yaani Toyota Hilux nimenunua Milioni 4.5 Afrika Kusini calculator ya TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka Tsh. Milioni 18.4!
Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati Afrika Kusini nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!
Hapa kazi tuu
Welcome back home. Huku tunajua bei za magari zaidi ya watengenezaji wenyewe.Jamani hii nchi Mungu tu aingilie kati!
Unaweza ukafurahi ukiwa ugenini dakika unagonga tu kibali kukanyaga Ardhi ya bongo na vimizigo vyako ulivotokanavyo kuhemea huko unakutana na ngumi za USO!
Yaani Toyota Hilux nimenunua Milioni 4.5 Afrika Kusini calculator ya TRA hapo bila kupepesa macho mzee baba anataka Tsh. Milioni 18.4!
Kurudi nalo nilikotoka ni issue! Wakati Afrika Kusini nimetembelea gari hiyo bila mushkeli kabisa! OMG!
Hapa kazi tuu
Uongo na unafiki huwa unawasaidia nini nyinyi chadema ?Sera tuliyonayo dhidi ya wananchi ni pasua kichwa .
Mpakani cement ya Kenya ni 16,000/= Lakini ole wako uitumie !! Unatakiwa ununue ya Tz 21,000/=.
Huwa najiuliza ni lini watu wote watachukuliwa kama wakulima wa korosho ?!. Kama mwingine anahangaika na mahindi mwaka mzima, leo wa korosho na jeshi lisaidie 😳 😀
Do you afraid to gamble? In every darkness there is black hole inside.Si mchezo daah