Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Wadau,
Nimeulizwa na mdau gari yake aina ya dualis/qashqai ya 2011 J10 inachelewa kuchanganya. Yani akianza kuondoa gari inachukua muda kupata speed/mwendo anaoutaka.
Mpaka akanyage mafuta sana mpaka RPM inafika kwenye 3.
Je, tatzo litakua ni nini?
JituMirabaMinne RRONDO na wengine.
Karibuni.
Nimeulizwa na mdau gari yake aina ya dualis/qashqai ya 2011 J10 inachelewa kuchanganya. Yani akianza kuondoa gari inachukua muda kupata speed/mwendo anaoutaka.
Mpaka akanyage mafuta sana mpaka RPM inafika kwenye 3.
Je, tatzo litakua ni nini?
JituMirabaMinne RRONDO na wengine.
Karibuni.