Wewe umeongea kimihemko zaidi na siyo kiufundi....
Suala la gari kuungua kuna mambo mengi..
Gari limetoka Japan, linafika bongo watu wanafanya modifications za wiring, sijui wanafunga mataa taa, music kihuni, sijui alarm za kichina, gari likiwaka moto utalaumu..?
Suala lingine, Nissan hazitaki ukanjanja...hazitaki spea za kufananishia au kupimishia...
Kwa mfano Nissan hazitaki zile spark plugs za elfu 4 ambazo unaweza kufunga kwenye Toyota, hata engine oil kuna baadhi ya Nissan zainachagua, gear box ndiyo usiseme.....hapa ndiyo wabongo hawapendi...
Sasa kama Nissan tu mnalalamika, gari za ulaya mtaziweza..?
Haya hii hapa iliyoungua nayo ni Nissan..?
Gari lolote linaweza kuhngua mahala popote
Nissan ni gari nzuri sana ukifuata kanuni za kulitunza.
View attachment 2172349