Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Wewe unaonekana hizi story zako unaokoteza sana. Hiyo gari iliyorushwa kwenye habari na milard ayo kila mtu anasema hiyo hiyo.Sijawahi kukurupuka nimetumia hizo gari hivyo naelewa , nadhani mmeona last week millardAyo kuna na nyingine imewaka huko mbezi beach tangi bovu mchana kweupeeee, kuna mdada naye mbishiiiii juzi kati yakwake imewaka ikiwa parking uani tena haijawashwa. watu waache ubishi na ujuaji kwa hali ilivyo ngumu sasa mtu aunguliwe na gari stress zake si zinapunguza miaka kadhaa ya kuishi? Pole zao wabishi.
Unless una takwimu ya hizi gari kuungua kila wiki au kila siku usiongee kwa kujiaminisha kuwa hizi gari zina factory error ya kuzifanya ziungue bila sababu.