MWEMBEKIUNO
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,877
- 2,489
Mimi nimetumia dualis miaka mitatu haijawah kuniletea shida hadi nikauiza na niliyemuuzia haijamsumbua katumia miaka miwili na ameshaiuza na yeye tena kaiuza kwa sababu kapata shida ya hela ila hakuuza kwa kupendaAnaongea kama Toyota haziendi garage.
Wewe umeongea kimihemko zaidi na siyo kiufundi....Nimeshawahi kuwajibu wadau mbali mbali humu jamvini kwamba Qashqai/Dualis/Juke/murano hamna magari humo Nissan kwa Bongo ni kizungumkuti tu. TOYOTA for Africa period , mtakuja kunishukuru baadaye msihangaike na sijui uniqueness sijui nini ikianza kukuzingua ndio hivyo mikono lazima uweke kichwani, hapo bado hujaongelea swala la kuungua , kluna mifano mingi zinaungulia njiani bila hata sababu ya msingi. kuna moja limewaka hata halijawashwa liko parking mtu yuko bara ana bia kama ya 3 tangu apaki likawaka , kwa ujumla hamna magari mule.Pole
Kwa uhakika zaidi, tafuta fundi mzuri fanya diagnosis..Wadau,
Nimeulizwa na mdau gari yake aina ya dualis/qashqai ya 2011 J10 inachelewa kuchanganya. Yani akianza kuondoa gari inachukua muda kupata speed/mwendo anaoutaka.
Mpaka akanyage mafuta sana mpaka RPM inafika kwenye 3.
Je, tatzo litakua ni nini?
JituMirabaMinne RRONDO na wengine.
Karibuni.
Okay mkuu....Kwa uhakika zaidi, tafuta fundi mzuri fanya diagnosis..
Ukikuta hamna fault yoyote, basi badilia airfilter, spark plugs funga kama zilizokuja na gari..
Injini kama umeweka oil ya SAE40, kabadili haraka uweke 5w30 au 5w40 ufurahie maisha..
Mkuu uliongea kweli Duuuh kweli majangaNimeshawahi kuwajibu wadau mbali mbali humu jamvini kwamba Qashqai/Dualis/Juke/murano hamna magari humo Nissan kwa Bongo ni kizungumkuti tu. TOYOTA for Africa period , mtakuja kunishukuru baadaye msihangaike na sijui uniqueness sijui nini ikianza kukuzingua ndio hivyo mikono lazima uweke kichwani, hapo bado hujaongelea swala la kuungua , kluna mifano mingi zinaungulia njiani bila hata sababu ya msingi. kuna moja limewaka hata halijawashwa liko parking mtu yuko bara ana bia kama ya 3 tangu apaki likawaka , kwa ujumla hamna magari mule.Pole
Jamaa alionekana kama kichaa na comment yake kumbe kitambo alishajua kuhusu hizo nissanMkuu uliongea kweli Duuuh kweli majanga
Mmmh CVT transmission inachelewa kuchanganya ?namiliki hii gari mwaka wa 4 huu, CVT inachelewa kuchanganya but ikichanganya ni tamu sana
Sijawahi kukurupuka nimetumia hizo gari hivyo naelewa , nadhani mmeona last week millardAyo kuna na nyingine imewaka huko mbezi beach tangi bovu mchana kweupeeee, kuna mdada naye mbishiiiii juzi kati yakwake imewaka ikiwa parking uani tena haijawashwa. watu waache ubishi na ujuaji kwa hali ilivyo ngumu sasa mtu aunguliwe na gari stress zake si zinapunguza miaka kadhaa ya kuishi? Pole zao wabishi.Mkuu uliongea kweli Duuuh kweli majanga
Umetumia mwaka gani? Zako ziliwaka ngapi?Sijawahi kukurupuka nimetumia hizo gari hivyo naelewa , nadhani mmeona last week millardAyo kuna na nyingine imewaka huko mbezi beach tangi bovu mchana kweupeeee, kuna mdada naye mbishiiiii juzi kati yakwake imewaka ikiwa parking uani tena haijawashwa. watu waache ubishi na ujuaji kwa hali ilivyo ngumu sasa mtu aunguliwe na gari stress zake si zinapunguza miaka kadhaa ya kuishi? Pole zao wabishi.
Hata huko nje kuwa wamiliki wa magari wasiojua kutunza magari wanayaharibu kama huku tu.Hapana. Gear box oil haijabadilishwa. Gari ina miezi miwili hapa bongo.
Haijawahi kuguswa popote zaidi ya kumwaga oil tu ya engine.
Hapana ni mfumo wake inatakiwa ukiamshie taratibu. Hata gari za kawaida pia haishauriwi uivurumue kama unakimbizwa na polisi.Why not spark plug zinakua zimeanza kuchoka?
Sasa wewe una ajenda yako binafsi. Magari hayo unayaongelea kama yana default wakati ni changamoto za maintenance na uzembe wa wamiliki.Nimeshawahi kuwajibu wadau mbali mbali humu jamvini kwamba Qashqai/Dualis/Juke/murano hamna magari humo Nissan kwa Bongo ni kizungumkuti tu. TOYOTA for Africa period , mtakuja kunishukuru baadaye msihangaike na sijui uniqueness sijui nini ikianza kukuzingua ndio hivyo mikono lazima uweke kichwani, hapo bado hujaongelea swala la kuungua , kluna mifano mingi zinaungulia njiani bila hata sababu ya msingi. kuna moja limewaka hata halijawashwa liko parking mtu yuko bara ana bia kama ya 3 tangu apaki likawaka , kwa ujumla hamna magari mule.Pole
Huyu ni hater. Unajua mtu akishajua hawezi mudu kitu anaanza kuponda.Kwani toyota huwa hawaendi garage? Hayaungui?
Myth
Naomba uedit hapo "hakuna ngoma wala sufuria" isomeke "hakuna ngoma wala tarumbeta" [emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha story moja ya kweli...
Mtaa ulikua unamsema demu mmoja mkali sana kuwa ana ngoma kila mtu akawa anamuogopa....
Ikafika kipindi kuna jamaa kutoka mbali akahamia kitaa akaopoa demu mkali kirahisi mpaka sasa wana watoto watatu na familia bora. Hakuna cha ngoma wala sufuria.
Kumbe kuna jamaa aliwahi kutolewa nje ndio akawa anamsagia kunguni yule demu....
Huyu rafiki yako atakuwa ndio wale akiingia kwenye gari anakishaweka D anataka avurumue gari itoke huku tairi zinaslip kwenye ardhi au itoke na makelele ya tairi inapiga ukelele kwenye lami.Okay so solution ni nini?
Hapo baada ya kuchanganya ni sahii huwa ipo kibati sana..
Bora umemuumbua maana kaja hapa na story za vijiweni. Huyu atakuwa ni wale mafundi magari wa chini ya muembe hizi gari huwa zinawashinda kutengeneza so huwa wanaziponda maana wateja wakizinunua wao wanakosa biashara.Wewe umeongea kimihemko zaidi na siyo kiufundi....
Suala la gari kuungua kuna mambo mengi..
Gari limetoka Japan, linafika bongo watu wanafanya modifications za wiring, sijui wanafunga mataa taa, music kihuni, sijui alarm za kichina, gari likiwaka moto utalaumu..?
Suala lingine, Nissan hazitaki ukanjanja...hazitaki spea za kufananishia au kupimishia...
Kwa mfano Nissan hazitaki zile spark plugs za elfu 4 ambazo unaweza kufunga kwenye Toyota, hata engine oil kuna baadhi ya Nissan zainachagua, gear box ndiyo usiseme.....hapa ndiyo wabongo hawapendi...
Sasa kama Nissan tu mnalalamika, gari za ulaya mtaziweza..?
Haya hii hapa iliyoungua nayo ni Nissan..?
Gari lolote linaweza kuhngua mahala popote
Nissan ni gari nzuri sana ukifuata kanuni za kulitunza.View attachment 2172349
Hii gari ina Engine oil yake specific na Gear box oil yake specific.Kwa uhakika zaidi, tafuta fundi mzuri fanya diagnosis..
Ukikuta hamna fault yoyote, basi badilia airfilter, spark plugs funga kama zilizokuja na gari..
Injini kama umeweka oil ya SAE40, kabadili haraka uweke 5w30 au 5w40 ufurahie maisha..
Kila mtu analitolea story gari moja kuungua. Kwani ndio gari la kwanza kuungua. Mimi nimeshakutana na gari kibao za Toyota zinaungua humo mabarabarani. Ila haiwezi kuwa sababu ya hizo gari hazifai.Hamna gari humo.. hizo nissan zote ni takataka tu , juzi dualis limeungua huko watu wana hahana inaelekea hata kuliuza itakuja kuwa ishu sana
Ukiifurumusha haipokei moto haraka hivyo maana ile haina mfumo wa gear (counter gear) ile inatumia mfumo wa pulleys na chain so inabalance nguvu ya gari na mzigo. Ukiwa unaendesha inabalance nguvu ya gari na wepesi wa body kadiria kasi ikiongezeka.Mmmh CVT transmission inachelewa kuchanganya ?