Car4Sale Gari Nissan Turbo ya ubalozi inauzwa

Car4Sale Gari Nissan Turbo ya ubalozi inauzwa

Status
Not open for further replies.
Wewe ndio hujanielewa kwa kuwa huelewi hesabu za kujumlisha na hesabu za makadirio. Nimesema ukibadilisha dola 1700 kwenda kwenye Tsh utapata ni Tsh milioni nne. Ukienda TRA ukalipishwa kodi ya Tsh milioni sita jumla zitafika au kuzidi milioni kumi. Hichi ndicho nimemaanisha.
Miloni kumi kwa gari iliyochoka kama hii is not a fair deal.

Kodi ya milion 6 umeitoa wapi?
 
Wewe ndio hujanielewa kwa kuwa huelewi hesabu za kujumlisha na hesabu za makadirio. Nimesema ukibadilisha dola 1700 kwenda kwenye Tsh utapata ni Tsh milioni nne. Ukienda TRA ukalipishwa kodi ya Tsh milioni sita jumla zitafika au kuzidi milioni kumi. Hichi ndicho nimemaanisha.
Miloni kumi kwa gari iliyochoka kama hii is not a fair deal.

Unajua mwaka na cc za hiyo gar had ukapata hiyo kodi?
 
Njoo pm
Gari aina ya nissan terano la kibalozi linauzwa bei sawa na bure ni dola 1700 tu gari ipo kwenye hali nzur sana halina michubuko wala kurudiwa rangi


Shughuli zake ni kupeleka wanafunzi shule gari lipo osterbay

Nimeshindwa kuweka kilomita kwakuwa Gage mita haisomi ila halina tatizo

Gari ni la Manual

Mawasiliano

0719590756

View attachment 1191825View attachment 1191826View attachment 1191827View attachment 1191829View attachment 1191830View attachment 1191831
 
Ambazo zipo ndani ya uwezo wako mkuu

Kabisa, karibu
IMG_9440.JPG
 
Kajamaa sound nyingi blah blah kibao kaambieni kaweke na kodi ya hiyo gari hapa watu wajue, kamekuja kuuza gari badala katoe details zinazoeleweka kanaishia kubishana

Kodi naweka vipi hapa bila kwenda Tra? Unapokwena tra ina maana gar tayar ina mteja hivi mnavyoviandika huwaga mnavijua au kwa kuwa una bando la kuingilia jf basi kila post ni kuvamia hii sio gar ya kwanza kuuza ya ubaloz fungua thread zangu humo nimeuza hadi 8 cylinder cc 4500 haikufika hata milion 4 ujuaji mwingi kichwani zero huwezi kuweka kodi hapa bila kupigiwa na mamlaka ya tra au unataka makadirio?

Kwa kukusaidia hiyo gar kwa makadirio haizidi milion 3 na nusu
 
Huo ufutio uliotumia kuficha plate number usije ukarudia utumia linapokuja swala la wewe kuficha sura yako Ukautumia ukiamini watu hawatokujua.
 
Kodi naweka vipi hapa bila kwenda Tra? Unapokwena tra ina maana gar tayar ina mteja hivi mnavyoviandika huwaga mnavijua au kwa kuwa una bando la kuingilia jf basi kila post ni kuvamia hii sio gar ya kwanza kuuza ya ubaloz fungua thread zangu humo nimeuza hadi 8 cylinder cc 4500 haikufika hata milion 4 ujuaji mwingi kichwani zero huwezi kuweka kodi hapa bila kupigiwa na mamlaka ya tra au unataka makadirio?

Kwa kukusaidia hiyo gar kwa makadirio haizidi milion 3 na nusu

Kumbe dalali, kenge wewe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom