Rich Forever
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 467
- 469
- Thread starter
- #41
Kumbe dalali, kenge wewe
Kwa hiyo ulifikiri mimi ni balozi naliuza? Sijafaham tatizo lako liko wapi hadi unanitukana na sijui unataka nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe dalali, kenge wewe
Kumbe dalali, kenge wewe
Msamaha gani huu mkuu?Ngoja nikusamehe huko uliko utavuna unachopanda hapa
Huyo mnyamaa achana nae usimfananishe na vigari vyenu vya million kumi,, kama kitu haukijui nyamaza tu,,Sasa hiyo ndo gar gani na ww?
Unachesema nakuunga mkono, ubalozi wapo wafanyakaz wenye uwezo mzuri tuu wa kifedha ukiona gari linaletwa hadi hapa jua hilo limeshindikana ndio maana wanataka linunuliwe na asiyelijua.Wewe ndio hujanielewa kwa kuwa huelewi hesabu za kujumlisha na hesabu za makadirio. Nimesema ukibadilisha dola 1700 kwenda kwenye Tsh utapata ni Tsh milioni nne. Ukienda TRA ukalipishwa kodi ya Tsh milioni sita jumla zitafika au kuzidi milioni kumi. Hichi ndicho nimemaanisha.
Miloni kumi kwa gari iliyochoka kama hii is not a fair deal.
Jumlisha m4 unayouzia?Kodi naweka vipi hapa bila kwenda Tra? Unapokwena tra ina maana gar tayar ina mteja hivi mnavyoviandika huwaga mnavijua au kwa kuwa una bando la kuingilia jf basi kila post ni kuvamia hii sio gar ya kwanza kuuza ya ubaloz fungua thread zangu humo nimeuza hadi 8 cylinder cc 4500 haikufika hata milion 4 ujuaji mwingi kichwani zero huwezi kuweka kodi hapa bila kupigiwa na mamlaka ya tra au unataka makadirio?
Kwa kukusaidia hiyo gar kwa makadirio haizidi milion 3 na nusu
Jumlisha m4 unayouzia?
Huyo mnyamaa achana nae usimfananishe na vigari vyenu vya million kumi,, kama kitu haukijui nyamaza tu,,
Gari aina ya nissan terano la kibalozi linauzwa bei sawa na bure ni dola 1700 tu gari ipo kwenye hali nzur sana halina michubuko wala kurudiwa rangi
Shughuli zake ni kupeleka wanafunzi shule gari lipo osterbay
Nimeshindwa kuweka kilomita kwakuwa Gage mita haisomi ila halina tatizo
Gari ni la Manual
Mawasiliano
0719590756
View attachment 1191825View attachment 1191826View attachment 1191827View attachment 1191829View attachment 1191830View attachment 1191831
Kwenye hizi dili mara nyingi wafanyakzi wa taasisi husika hawaruhusiwi kununua sasa sijui kwa hapo ubalozi masharti yamekaaje.Unachesema nakuunga mkono, ubalozi wapo wafanyakaz wenye uwezo mzuri tuu wa kifedha ukiona gari linaletwa hadi hapa jua hilo limeshindikana ndio maana wanataka linunuliwe na asiyelijua.
Ndg nani anaiuza hiyo Fj Cruiser ?Kabisa, karibu View attachment 1192714
Ndg nani anaiuza hiyo Fj Cruiser ?
Ebu nambie nikiagiza mpaka hapa gari hilo litanigharimu kiasi gani. Ni ndoto ya hitaji languHapana ndugu haiuzwi, imenunuliwa karibuni bado iko katika matumizi
Ebu nambie nikiagiza mpaka hapa gari hilo litanigharimu kiasi gani. Ni ndoto ya hitaji langu
Mkuu 13 mega pixel hii gari ina cc ngapiMkuu itakuwa milioni 70+