Car4Sale Gari Nissan Turbo ya ubalozi inauzwa

Status
Not open for further replies.
Mkuu si kila gar anapanda balozi au ya kibalozi ni ya balozi hujawahi kuona vitz zenye namba za ubalozi?

Basi hizo gar zinatumiwa na wafanyakazi wa balozi fulani si za mabalozi
Anhaaa kumbe...ndo maana naonaga mpaka ist
 

Kodi ya milion 6 umeitoa wapi?
 

Unajua mwaka na cc za hiyo gar had ukapata hiyo kodi?
 
Njoo pm
 
Kajamaa sound nyingi blah blah kibao kaambieni kaweke na kodi ya hiyo gari hapa watu wajue, kamekuja kuuza gari badala katoe details zinazoeleweka kanaishia kubishana

Kodi naweka vipi hapa bila kwenda Tra? Unapokwena tra ina maana gar tayar ina mteja hivi mnavyoviandika huwaga mnavijua au kwa kuwa una bando la kuingilia jf basi kila post ni kuvamia hii sio gar ya kwanza kuuza ya ubaloz fungua thread zangu humo nimeuza hadi 8 cylinder cc 4500 haikufika hata milion 4 ujuaji mwingi kichwani zero huwezi kuweka kodi hapa bila kupigiwa na mamlaka ya tra au unataka makadirio?

Kwa kukusaidia hiyo gar kwa makadirio haizidi milion 3 na nusu
 
Huo ufutio uliotumia kuficha plate number usije ukarudia utumia linapokuja swala la wewe kuficha sura yako Ukautumia ukiamini watu hawatokujua.
 
Huo ufutio uliotumia kuficha plate number usije ukarudia utumia linapokuja swala la wewe kuficha sura yako Ukautumia ukiamini watu hawatokujua.

Hahahhaa mkuu tumepunguza tu ukali wa muonekano
 

Kumbe dalali, kenge wewe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…