Asante mkuu.ila kuna tetesi kuwa hizi new model zinasumbuaga sana gear boksi.Vipi kwa uzoefu wako?
Asante mkuu kwa ushauri.nitazingatia Hili piaMkuu unaonekana umeshafanya utafiti wa kila aina ya gari na matatizo yake. Ukiendelea hivi hautakuja kununua gari maana hamna ambayo haina matatizo 😂😂😂😂
Pia mi nakushauri usisikilize saana maoni ya watu humu. We ingia mtaani, tafuta gari utakayoipenda wewe, ikague vizuri (unaweza kwenda na fundi unaemuamini), bargain bei, nunua. Hapa kila mtu anakushauri gari anayoipenda/miliki yeye, ambayo huenda wewe isikufae. Siku izi kila gari inatengenezeka na ina spea mkuu usiwe muoga sana..
Inapatikana wapi hii kiongozi?Ipo ist nzuri bosss, funcargo , au raum
View attachment 1838419
Nikienda kwa Ist haitakuwa mbaya eeh?
Pamoja Sana mkuu.Nitazingatia Hili pia.Go for IST tu! Ni gari zuri, ila ungeweza ongeza at least 7m or 7.5 ungepata IST safi; nenda taratibu tu usiwe na haraka utapata gari zuri! Budget ni nzuri ukitulia!
Asante kiongozi.Ila nawiwa zaidi nipate istIpo vitz, full ac haina kipengele chief, gari binafsi sio ya dalali
View attachment 1838453
View attachment 1838454
View attachment 1838455
View attachment 1838456
Ndio mkuu nashukuru.Nimepata Mwanga pakubwaNatumae mleta mada ulipata muongozo...
Hii gari bado ipo?Ipo ist nzuri bosss, funcargo , au raum
View attachment 1838419
Vipi mkuu tupe mrehesho, ulinunua gari ganj na unaendeleajeShukran k
Shukran kwa ushauri mzuri.Ngoja nianze kukawinda kwa madalali
Ist inapakwa balaa lakin utafanyaje sasa ndio ya wanyonge hyo😁
Ndugu mbona matusi hiviMagari mengi Sana mtandaoni yanatangazwa na madalali, madalali wengi hawana contacts za wenye magari, watakuzunguusha tu. Kama uko serious hakikisha unahangaika na Yale magari yanayotangazwa na wenye magari au nenda yard wanakouza magari yaliyotumika tz. Forget about shit madalali mikundu wazi. Wengine hata details za gari hawajui.
Shit dalalis.
Pole sana mkuuMagari mengi Sana mtandaoni yanatangazwa na madalali, madalali wengi hawana contacts za wenye magari, watakuzunguusha tu. Kama uko serious hakikisha unahangaika na Yale magari yanayotangazwa na wenye magari au nenda yard wanakouza magari yaliyotumika tz. Forget about shit madalali mikundu wazi. Wengine hata details za gari hawajui.
Shit dalalis.
hii gari sikushauri haifai na wala Nissan kwa ujumla wake kama pesa ni ya kuungaunga achana naza kabisaTafuta Nissan x-trail ipo vizuri, na kwa bajeti yako hiyo Used unapata vizuri tu, tena iliyopo kwenye hali nzuri kabisa.
Hujielewi wwUkinunua IST utajiona mjanja umebana matumizi ya mafuta, Ila baada ya wiki mbili akili ikitulia baada ya wenge la kumiliki Gari,
utaanza kuona aibu hicho kiIST watu watadhani Ni Uber traffic nao watakusumbua balaahhh. Shep yenyewe Kama mtoto wa kiti Moto.
Tafuta Mark II Vimba nayo spea kibao. IST Gari ya kinyonge Sana Ipotezee.
Nunua mkuu ziko very comfortable sanaNaonaga Benz za mil 5/6 mitandaoni, mbona sioni zikipigiwa debe?
Hakuna gari itayokufanya ujione bora kupanda daladala,Pole,ila kuna ka ukweli ukiwa na gari kali hamna wa kukusumbua njiani.Ila pia kuna vigari mpaka aibu bora nipande daladala