incredible mimi
Senior Member
- Apr 14, 2024
- 179
- 256
Mkishakuwa desperate hasa mkiona umri unaenda hata passo huna unaanza ponda usafiri wa watu…Ukinunua IST utajiona mjanja umebana matumizi ya mafuta, Ila baada ya wiki mbili akili ikitulia baada ya wenge la kumiliki Gari,
utaanza kuona aibu hicho kiIST watu watadhani Ni Uber traffic nao watakusumbua balaahhh. Shep yenyewe Kama mtoto wa kiti Moto.
Tafuta Mark II Vimba nayo spea kibao. IST Gari ya kinyonge Sana Ipotezee.
Nenda ugoogle, ni most selling sub compact cars in japan car manufacturing history..
Mm situmii ist bt i do respect tht model cz kaz kubwa ilifanyika....
Ww endelea kupigana vkumbo n mamazako wadogo kwny mwendokasi