Gari nzuri ya kununua kwa Tsh 6,000,000

Gari nzuri ya kununua kwa Tsh 6,000,000

Ukinunua IST utajiona mjanja umebana matumizi ya mafuta, Ila baada ya wiki mbili akili ikitulia baada ya wenge la kumiliki Gari,

utaanza kuona aibu hicho kiIST watu watadhani Ni Uber traffic nao watakusumbua balaahhh. Shep yenyewe Kama mtoto wa kiti Moto.

Tafuta Mark II Vimba nayo spea kibao. IST Gari ya kinyonge Sana Ipotezee.
Mkishakuwa desperate hasa mkiona umri unaenda hata passo huna unaanza ponda usafiri wa watu…

Nenda ugoogle, ni most selling sub compact cars in japan car manufacturing history..

Mm situmii ist bt i do respect tht model cz kaz kubwa ilifanyika....

Ww endelea kupigana vkumbo n mamazako wadogo kwny mwendokasi
 
Hakuna gari itayokufanya ujione bora kupanda daladala,

Mkishakuwa desperate hasa mkiona umri unaenda hata passo huna unaanza ponda usafiri wa watu…

Ist zilivyoanza kuzalishwa japan, ulaya “europe” pekee zimeuzwa zaidi y asilima 40 y matoleo yote, huko walizipa jina Scion A, Scion xD, Toyota xA….

Nenda ugoogle, ni most selling sub compact cars in japan car manufacturing history..

Mm situmii ist bt i do respect tht model cz kaz kubwa ilifanyika..

ss ww endelea kugombea daladala cku pedi ikikuanguka kwny hiyo sketi ndo utaacha kudharau private cars za watu.

I rest my case [emoji1321][emoji1321]
No,kila mtu anamtazamo wake kiongozi mi nilishasema bora nisinunue gari nijue moja tu.
Ila nimeanza na harrier atleast kwangu
 
Mkishakuwa desperate hasa mkiona umri unaenda hata passo huna unaanza ponda usafiri wa watu…

Nenda ugoogle, ni most selling sub compact cars in japan car manufacturing history..

Mm situmii ist bt i do respect tht model cz kaz kubwa ilifanyika....

Ww endelea kupigana vkumbo n mamazako wadogo kwny mwendokasi

Ukiona mtu anaponda gari yoyote iwe passo, Ist nk jua tu huyo hamiliki hata baiskeli
au pengine ni limbukeni amenunua kagari chakavu hapa nchini sasa anajiona mjanja.
Watu makini na wanao jua maana ya usafiri na umuhimu wake hawawezi kudharau usafiri wa mtu mwingine hata ungekuwa pikipiki...
 
Nyumba ya kumalizia inauzwa kwa 8.5m
Ipo vikindu kilometa 1 toka barabara kuu
Kiwanja futi 40 kwa 40
Chumba kimoja kimekamilika madirisha, mlango, plasta, wiring na choo cha nje
Kwa maelezo zaidi piga 0759 911995
 

Attachments

  • Screenshot_20230724-153614.png
    Screenshot_20230724-153614.png
    3 MB · Views: 6
Nyumba ya kumalizia inauzwa kwa 8.5m
Ipo vikindu kilometa 1 toka barabara kuu
Kiwanja futi 40 kwa 40
Chumba kimoja kimekamilika madirisha, mlango, plasta, wiring na choo cha nje
Kwa maelezo zaidi piga 0759 911995
Kiwanja ni 40 kwa 50 futi.. Kuna msingi wa chumba kimoja uani na eneo limebaki
Ramani yake ni chumba, sebule, jiko na kibaraza
 
Nadhani ungefika hata m 10 ungekuwa na uwanda mpana wa kuchagua
 
Ukiona mtu anaponda gari yoyote iwe passo, Ist nk jua tu huyo hamiliki hata baiskeli
au pengine ni limbukeni amenunua kagari chakavu hapa nchini sasa anajiona mjanja.
Watu makini na wanao jua maana ya usafiri na umuhimu wake hawawezi kudharau usafiri wa mtu mwingine hata ungekuwa pikipiki...
Kabisa ndugu, tz kunawatu malimbukeni sn, eti mtu na akili zako kabisa unasema bora upande daladala kuliko kumiliki vits, passo etc… ss huyu n mzima kweli?

Siku tukifahamu kuwa gari n hitaji la msingi la kibinadamu na sio showoff km wengine wanavyodhana tutabadili mitazamo yetu
 
Back
Top Bottom