Attachment 333
Senior Member
- Nov 4, 2024
- 103
- 53
- Thread starter
-
- #21
Nimeshuja Jana tu toka Uchina hata kiswahili sikijui. Kumbe Natakiwa kuwa Mama mkwe wa Xxx ili Gari isitetemeke.. Gari linatetemeka kama genereta (Nitumie Kari au Kali)Unaonekana ni mama mkwe wa trump
Kweli kuuza Label za Ng'ombe kazi sana TanzaniaπππUnaonekana ni mama mkwe wa trump
Kweli kuuza Label za Wanyama kazi kubwa sana TanzaniaπππKari = kali?
Mpaka kuhisi huo mtetemo inamaanisha engine na gearbox havijakaza kama inavyopaswa kuwa. Unaweza usione athari kwa haraka ukiacha huo mtikisiko ila kwa muda mrefu inaweza pelekea kuharibu vitu vingine ambayo itakuongezea gharama.Ni kama historia imejirudia Trump kawa Rais wa 47ππππ
View attachment 3145361
Sasa kuna Madhara Gani nikiendelea kuitumia Tumiaπππ Maana daaaa gharama kumiliki magari naona niwakatishe tamaa vijana
Nenda fundi jomba hilo dogo linatibikaaaMsaada Wadau,
Haka Gari RV4 lina tatizo la kutetema nikiwa nimesimama kwenye foleni au mataa au hata nikiwa nimesimama tu kawaida na Nikiwasha AC ndio kabisa linatetemeka hadi Viti vinatataka kung'ola,
Mlio unatoka kwenye injini na ukiweka gear position ya parking kutetemeka kunapungua,
Niliipeleka kwa mafundi wa garage wakasema ni mountain gear moja imekufa, tumebadilisha baada ya siku moja tatizo limejirudia hadi nahisi wanaotaka tujenge SGR kila kitongoji, Mtaa wamerudi kwa kasi ya Ajabu.
Naomba msaada wandugu mwenye kujua tatizo ni nini!!
Aksante Sana.