Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Order ya spea imetoka ukilipata utoamini macho yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio limeibwa sasamkuu unaangalia pia nagari yakuifanyia hivyo[emoji53]
Weka kiasi cha hilo donge nono hadharani na namba yako ya simu vijana tuingie kazini mlango kwa mlango mpaka kitaeweka.Kwa masikitiko napenda kutoa taarifa kuwa gari inayoonekana pichani imeibwa.
Aina ya gari: Nissan Gloria
No za usajili T887 CKW
Rangi: Nyeusi, iliibwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam.
Yeyote atakayeiona atoe taarifa kwa jeshi la polisi.
Ahsante kwa ushirikiano.
Wako
Mmiliki, Bemendazole
View attachment 2745647
View attachment 2745650
Kuna jamaa nilimtania nikamwambia gari langu nataka niandike jina langu kwenye plate number, jamaa alinijibu, watu watakuita kichaa.mkuu unaangalia pia nagari yakuifanyia hivyo😕
Yaani Dar watu wanataka kupata pesa kirahisi rahisi rahisi sana!..kwa hilo donge nono ulioweka hapo watu wataipta hiyo gari fasta
CCTV haizuii wezi. Inachofanya ni kurekodi movement tu.Nani kakwambia gps inazuia wezi unawajua wabongo au unawasikia.
Watu wanaiba una cctv sembuse gps
Chuma ina mangeu lakini imepigwa hivyo hivyoDuuh watu wanaiba aisee hawachagui hawabagui wao wana beba tuu
Wamenyanyuka nayoChuma ina mangeu lakini imepigwa hivyo hivyo
Sio vizur kumlaumu mhanga wa uhalifuDunia ya leo unaibiwaje Gari na usijue iko wapi?
Ulishindwa nini kufunga gps tracker?
Ila nayo inatumia mafutamkuu unaangalia pia nagari yakuifanyia hivyo😕
kunasehem nimeandika inatumia mkojo?😕Ila nayo inatumia mafuta
gari yakujiandika jina at list ianzie million mia kuendelea.sio million hamsini au kumi unaandika jina hata trafik watakusumbua sana tuu.Kuna jamaa nilimtania nikamwambia gari langu nataka niandike jina langu kwenye plate number, jamaa alinijibu, watu watakuita kichaa.
Heshima yake itaendelea kuitwa garikunasehem nimeandika inatumia mkojo?😕
kunasehem nimeandika nimkokoteni sio gari?,😕Heshima yake itaendelea kuitwa gari