Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kwani unadhani, kwa dunia hii hii ya leo, hiyo GPS tracker haiharibiwi?Dunia ya leo unaibiwaje Gari na usijue iko wapi?
Ulishindwa nini kufunga gps tracker?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unadhani, kwa dunia hii hii ya leo, hiyo GPS tracker haiharibiwi?Dunia ya leo unaibiwaje Gari na usijue iko wapi?
Ulishindwa nini kufunga gps tracker?
Akaifunge GPS sasa akiipatakunasehem nimeandika nimkokoteni sio gari?,😕
Kwani kwenu hakuna bomba?Hela ya maji ipo?
Siku hizi hawavushi..Gari zinabuchwa..!! Inatawanywa ndani ya usiku mmoja. Milango inaenda Tandale, engine inapanguliwa baadhi ya vitu na inapelekwa shauri moyo, taa nazo machinga complex, etc. Kifupi inatawanywa hata ukikiona kimojawapo hutokijua.Hio Gari Bado iko DSM mkuu, haijavuka kwenda mkoanii
Kuna jamaa nilikuta kaeka jina kwenye Nissan Dualis Nilichoka.Kuna jamaa nilimtania nikamwambia gari langu nataka niandike jina langu kwenye plate number, jamaa alinijibu, watu watakuita kichaa.
hio gari Haina haja yakuhangaika kufunga hio kitu.anunue nyingine.Akxaifunge GPS sasa akiipata
Wenyewe utatusikia, SPARE USED NDO NZURI KULIKO MPYA..!! Used zenyewe ndo hizi za wiziHuwa yanakatwa screpa kuuzwa spare
🤣Madharauhio gari Haina haja yakuhangaika kufunga hio kitu.anunue nyingine.
mhhh! [emoji848] pole sana mkuu.Kwa masikitiko napenda kutoa taarifa kuwa gari inayoonekana pichani imeibwa.
Aina ya gari: Nissan Gloria
No za usajili T887 CKW
Rangi: Nyeusi, iliibwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam.
Yeyote atakayeiona atoe taarifa kwa jeshi la polisi.
Ahsante kwa ushirikiano.
Wako
Mmiliki, Bemendazole
View attachment 2745647
View attachment 2745650
Kwahiyo wewe unaweza kuacha Nyumba yako mlango wazi kisa kufuli hua zinavunjwa na wezi?Kwani unadhani, kwa dunia hii hii ya leo, hiyo GPS tracker haiharibiwi?
Siwezi fanya hivyo, lakini ujuwe, kwa issue ya hilo gari, imeshaibiwa na mwizi haweza acha GPRS iwe active huku anajua inasema gari ilipo..!! Ataiharibu tu. Kwanza ujuwe, wezi wa siku hizi kabla hawajafanya tukio, wanafanya upembuzi yakinifu kujua mienendo yako na gari yako..!!Kwahiyo wewe unaweza kuacha Nyumba yako mlango wazi kisa kufuli hua zinavunjwa na wezi?
LIKUD huu Uzi hawezi Kuuchangia kwani pamoja na Kutamba ni Mtoto wa Mjini na Amesoma ila mpaka sasa ana Miaka 59 si tu hana Gari bali hata Baiskeli tu hajawahi kuwa nayo / Kuimiliki.Kwa masikitiko napenda kutoa taarifa kuwa gari inayoonekana pichani imeibwa.
Aina ya gari: Nissan Gloria
No za usajili T887 CKW
Rangi: Nyeusi, iliibwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam.
Yeyote atakayeiona atoe taarifa kwa jeshi la polisi.
Ahsante kwa ushirikiano.
Wako
Mmiliki, Bemendazole
View attachment 2745647
View attachment 2745650
Unatakiwa utambue kwamba,kufuli au gps haimfanyi mwizi kutotimiza lengo lake bali humpa ugumu wa kutimiza lengo lake,Siwezi fanya hivyo, lakini ujuwe, kwa issue ya hilo gari, imeshaibiwa na mwizi haweza acha GPRS iwe active huku anajua inasema gari ilipo..!! Ataiharibu tu. Kwanza ujuwe, wezi wa siku hizi kabla hawajafanya tukio, wanafanya upembuzi yakinifu kujua mienendo yako na gari yako..!!