Gari T887 CKW imeibwa, atakayeiona atoe taarifa kituo cha polisi

Gari T887 CKW imeibwa, atakayeiona atoe taarifa kituo cha polisi

Kwa masikitiko napenda kutoa taarifa kuwa gari inayoonekana pichani imeibwa.

Aina ya gari: Nissan Gloria

No za usajili T887 CKW

Rangi: Nyeusi, iliibwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam.

Yeyote atakayeiona atoe taarifa kwa jeshi la polisi.

Ahsante kwa ushirikiano.

Wako

Mmiliki, Bemendazole

View attachment 2745647
View attachment 2745650
mhhh! [emoji848] pole sana mkuu.
 
Kwahiyo wewe unaweza kuacha Nyumba yako mlango wazi kisa kufuli hua zinavunjwa na wezi?
Siwezi fanya hivyo, lakini ujuwe, kwa issue ya hilo gari, imeshaibiwa na mwizi haweza acha GPRS iwe active huku anajua inasema gari ilipo..!! Ataiharibu tu. Kwanza ujuwe, wezi wa siku hizi kabla hawajafanya tukio, wanafanya upembuzi yakinifu kujua mienendo yako na gari yako..!!
 
Kwa masikitiko napenda kutoa taarifa kuwa gari inayoonekana pichani imeibwa.

Aina ya gari: Nissan Gloria

No za usajili T887 CKW

Rangi: Nyeusi, iliibwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam.

Yeyote atakayeiona atoe taarifa kwa jeshi la polisi.

Ahsante kwa ushirikiano.

Wako

Mmiliki, Bemendazole

View attachment 2745647
View attachment 2745650
LIKUD huu Uzi hawezi Kuuchangia kwani pamoja na Kutamba ni Mtoto wa Mjini na Amesoma ila mpaka sasa ana Miaka 59 si tu hana Gari bali hata Baiskeli tu hajawahi kuwa nayo / Kuimiliki.
 
Siwezi fanya hivyo, lakini ujuwe, kwa issue ya hilo gari, imeshaibiwa na mwizi haweza acha GPRS iwe active huku anajua inasema gari ilipo..!! Ataiharibu tu. Kwanza ujuwe, wezi wa siku hizi kabla hawajafanya tukio, wanafanya upembuzi yakinifu kujua mienendo yako na gari yako..!!
Unatakiwa utambue kwamba,kufuli au gps haimfanyi mwizi kutotimiza lengo lake bali humpa ugumu wa kutimiza lengo lake,

Hata hiyo simu yako kama umeweka Password basi tambua kua wapo wataalamu ambao wataweza kuifungua,

Duniani hakuna security ambayo ni 100% safe but hiyo haitufanyi kutokuweka security system kwenye vifaa vyetu.
 
Back
Top Bottom