Gari: Toyota Raum

Mi naomba kidogo nipate info ya Suzuki Kei, upatikanaji wa spea parts na bei za hizo spea,
 

Walinipiga side mirrors za Harrier yangu ikabaki kama imenyolewa panki. Watu wabaya sana.
 
Mimi ni kijana mwenzenu nataka kununua gari, na katika kupitita pitia kwenye mitandao nimekutana na aina hii ya gari TOYOTA RAUM, na nimeipenda na na nataka kuinunua, ila kabda sijafanya hivyo naomba nipate ushauri kutoka kwenu.

Usinunue gari kwa show yake angalia availability ya spear zake ili usijelia bdae!
 
Usinunue gari kwa show yake angalia availability ya spear zake ili usijelia bdae!
Na muonekano nao unamatter, hata ukikaa home unamuangalia 'mtoto' unajidai. Raum na Spacio zina sura mbaya
 
Brother sijui uko mkoa gani na sijui movement zako zikoje from one point to the next.
Kama unakuwa mtu wa safari ndefu na zinazocombine barabara ya lami na ya vumbi,nakushauri jitie ktk Rav 4 Old model milango mitano,achana na kile kipisi.
Rav 4 old model nyingi zina Cc 1990-1998(2000).with 3S ambayo ni kati ta engine bora sana na zinazovumilia misukosuko mingi.
Pili aliyezitengeneza ameweka mabomba flan kwa ajili ya kukulinda kama itatokea impact au kupinduka,Mabomba hayo ni kama tanayowekwa ktk gari za mashindani huwa yako ndani ya milango ya mbele na nyuma.
Zina 4wheels,Automatic transmission 4wheel yake ina sensor kwamba ukikwama sensor ina send message ktk control box na ina jii engage automatically.
Ila Manual Transmission ina 4wheel button so ukiingia kwa tope unabonyeza tu unakata maji kama fibre boat.
Naijua Rav 4 Old Model.napanda milima na mabonde bila shida,fuel consumption ni 11 km per liter.Bro karibu ktk Ulimwengu wa Rav 4 old model ACHANA na Kili time.
 
Rav4 old model iwe manual au auto kwa long safari za mikoani na barabara zenye mikikimikiki, basi hii gari imevunja rekodi, ila kama una lami mpka mlangoni home nunua raum
 
Mkuu umetupa angalizo kwenye Toyota wish hasa zenye 4w kwa safari ndefu ,Je tatizolake ninini maana ndio chahuolangu hilo na tena niliibahatisha ya cc1490
 
Daka hii Toyota wish metallic black 65000 km interior safi engine capacity 1790 bei poa kabisa cell 0625677253
 

Attachments

  • image.jpg
    184.7 KB · Views: 126
4w kwa gari za chini sio ishu sana maana sifikiri kutembelea kny matope totoro hiyo 4w itasaidia hiyo inafaa kwa gari kubwa za juu. It is simply useless!
 
Yeah watu wa Dar hamuhitaji sana hizo.ila kuna ambazo ni full time 4w sio nzuri sana kwa watu wa mjini lakini watu wengi wanazo bila kujua kama wanamiliki gari ambazo ni full time 4w.
Pia angalia na budget yako.
 
Kluger ninaziona watu wachache wanazo,shida sijui ni price ya hizo gari au preference,ila ni gari nzuri tu.
Watu wengi wanajaribu kukwepa gari kubwa kubwa kidogo kwa sababu ya gharama za uendeshaji wa magari but inategemea na financial position yako na pia unaihitaji gari kwa ajili ya shughuli gani.
Nadhani hiyo ni motive ya nani awe na gari ya aina gani.
 
Same case applies to this one ila angalizo nakupa moja tu! usinunue za four wheel Drive kama una mpango wa kuitumia katika safari ndefu! but kama ni kwa matumizi ya hapa mjini hata zenye four wheel ni okay.
vipi kiongozi kwa nini four wheel haifai kwa safari ndefu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…