Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Ulinganifu wako, unaonesha kuna mahala una shida . Ukisha ona gari ina beinkubwa kuliko ingine maaana yake hazifanani, kuanzia Tech etc. Sasa unaanzaje linganisha hapo ? Linganisha zenye bei sawa na tech sawa * ukaribiano *. Kuna gari version au tech comapny flani inakuwa imefikia na company flani haijafika au imefika ila huenda sio soko alilo jiandaa naloView attachment 1701902wanazi wenzangu wa Toyota nawapa home work mnitafutie gari used iwe toyota, Lexus au Nissan inayozidi hiyo bei ya Mercedes Benz.
Ifikie hatua tuwe tunaheshimu wakubwa zetu
Hamna anacho elewe, ni shabiki tu huyo. Mjopana ana version ya gari zake na ana aina ya wateja ame focus. Ulinganisho wake wa bei ndio nimeona haelewi anachofanyaMtu anashindanisha S-class vs Crown hybrid?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] unajua hata unacho kishindanisha aiseee.
Kumbe competitor wa S-class ni Crown hybrid?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Umemaliza kila kitu. Shida hawa wajerumni wa jf, hawafikiri vizuri na hata ulinganishi wao ni wa ajabu ajabu sana. Nimeisha wapuuza tuVijana tafuteni maarifa la sivyo mtakuja kuumbuka mbele ya wanaume.
Ngoja nikusaidie ku convert hizo β¬ kwenda kwny $ ujionee utamu wa mjapani pale anapoamua kuonyesha umwamba wake.
Hio gari inayouzwa β¬745,000 = $902,976
Hio gari inayouzwa β¬605,858= $734,329
Hio gari inayouzwa β¬567,093= $687,344.
Hio gari inayouzwa β¬512,756 = $621,485
Yaani hapo gari ya pesa ndogo ni ya $621,485 [emoji23][emoji6][emoji6][emoji54],mpk hapo Germany machine a.ka Sijui monster a.ka nini sijui kapigwa bila wese.
View attachment 1701927View attachment 1701928View attachment 1701929View attachment 1701930View attachment 1701931
Extrovert
Holy Man
Gap refu sana gari ya Mjerumani ya 2020 ni 1.15 billion TZS halafu Mjapani ana gari la 2019 bei 2.09 billion. TZS ππππ German machine my footView attachment 1701902
Vijana tafuteni maarifa la sivyo mtakuja kuumbuka mbele ya wanaume.
Ngoja nikusaidie ku convert hizo β¬ kwenda kwny $ ujionee utamu wa mjapani pale anapoamua kuonyesha umwamba wake.
Hio gari inayouzwa β¬745,000 = $902,976
Hio gari inayouzwa β¬605,858= $734,329
Hio gari inayouzwa β¬567,093= $687,344.
Hio gari inayouzwa β¬512,756 = $621,485
Yaani hapo gari ya pesa ndogo ni ya $621,485 [emoji23][emoji6][emoji6][emoji54],mpk hapo Germany machine a.ka Sijui monster a.ka nini sijui kapigwa bila wese.
View attachment 1701927View attachment 1701928View attachment 1701929View attachment 1701930View attachment 1701931
Extrovert
Holy Man
wanazi wenzangu wa Toyota nawapa home work mnitafutie gari used iwe toyota, Lexus au Nissan inayozidi hiyo bei ya Mercedes Benz.
Ifikie hatua tuwe tunaheshimu wakubwa zetu
Hahah mkuu unaanza kupanua magoli sasaπMtu anashindanisha S-class vs Crown hybrid?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] unajua hata unacho kishindanisha aiseee.
Kumbe competitor wa S-class ni Crown hybrid?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Toyota katoa LEKASUS (Lexus) kuumana na hao akina c-class na BMWHahah mkuu unaanza kupanua magoli sasaπ
Hahahah S-class competitor wake ni Lexus LS mkuu na sio Crown,na hii comparison ya dunia nzima mkuu.Hahah mkuu unaanza kupanua magoli sasa[emoji16]
Asante,nipe mbadala nataka nitoke kwenye Carina tiHahahah S-class competitor wake ni Lexus LS mkuu na sio Crown,na hii comparison ya dunia nzima mkuu.
Mkuu umemaliza kila kitu hapo,labda walete tu ubishi lkn kwa hio comparison kila kitu kiko hadharani hapo.View attachment 1701946View attachment 1701947
View attachment 1701948
View attachment 1701949
View attachment 1701951
Sisi wa uchumi wa kati hizo BMW ni sawa na kujibebesha gunia la misumari tu, ni tatizo Duniani kote. Top 10 Best Luxury Cars (2020 Update) - The Most Luxurious Cars (UK) β’ Motorway
Chukua G - Wagon.. AMG 63 itakufaa mkuuππAsante,nipe mbadala nataka nitoke kwenye Carina ti
AhahahaaaChukua G - Wagon.. itakufaa mkuu[emoji3][emoji3]
ππ Uko parefu sana mkuu,nilipanga nichukue bmw x3 ila naona bora nichukue Nissan fuga la 2018 nimeangalia kikokotoo cha tra Kodi wanataka mil 10 tu ,Kodi ndogo mpka nimeshangaaChukua G - Wagon.. AMG 63 itakufaa mkuuππ
Na japenga wana iuza bei gani ?ππ Uko parefu sana mkuu,nilipanga nichukue bmw x3 ila naona bora nichukue Nissan fuga la 2018 nimeangalia kikokotoo cha tra Kodi wanataka mil 10 tu ,Kodi ndogo mpka nimeshangaa
ππ Uko parefu sana mkuu,nilipanga nichukue bmw x3 ila naona bora nichukue Nissan fuga la 2018 nimeangalia kikokotoo cha tra Kodi wanataka mil 10 tu ,Kodi ndogo mpka nimeshangaa
Na japenga wana iuza bei gani ?
Mkuu bado sijafikia uchumi wa kati wa kumiliki gari ya mil 70,mwisho wangu mil 30View attachment 1702089kitu kimetulia chukua kamnyama huko
Kazuri kazuri. Ni ka V6 .. Chukua mwali huo ndege ya chiniView attachment 1702111nilikosea ni 2012 sio 2018 apo Kodi inacheza m8
Naamini mpka Mwezi 6 uyu mwali atakuwa road anafukuzana na akina golfKazuri kazuri. Ni ka V6 .. Chukua mwali huo ndege ya chini
Atakwambia umelinganisha gari ambazo haziendani, atakuchagulia model ya kufananisha nayo.View attachment 1701862View attachment 1701865
Torque vs HP kwahiyo hapo Toyota amemzidi benz sio?
Benz ni ya 2017 na crown ni 2019.
Toyota bado Sana kwa German