Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

Kumiliki gari ya zaidi ya 2500cc kwa bongo hapa ni kichefu chefu hasa kama utafikia mahala unataka kuliuza.

Hata liwe namba DVZ hamna mtu anataka gari lenye mashine kubwa namna hio labda uwauzie watoto wa kiarabu ndo wanawakaga nayo[emoji23]
Napenda sana Migari yenye Cc kubwa. Juzi nimeenda Jeep lenye Cc6000 tena petrol. Aiseee linatembea ni balaa.
 
Sedan crown zimekaa powa sana. SUV wataharibu
Trend ya sokoni sahizi ni SUV body type. Sio bongo tu hata ulaya wanapenda sana gari za Juu juu 😂😂😂 na Hatchbacks, Sedan sio kivile ndio maana gari nyingi zina vichogo.
 
Trend ya sokoni sahizi ni SUV body type. Sio bongo tu hata ulaya wanapenda sana gari za Juu juu 😂😂😂 na Hatchbacks, Sedan sio kivile ndio maana gari nyingi zina vichogo.
Sedan zipo sexy sanaa.. cheki S 650 maybach S 63 AMG, cheki Volvo S60 au S80. Cheki majesta, cheki Crown kuanzi 2011+.. hapo ujacheki Astorn Martin, bentley Sedan.. zipp sex vibaya, twende kwa AUDI A8 , MBW 7 Series hadi shemeji akiingia mahaba yanapanda nyuzi joto 😀😀😀😀...
 
Sedan zipo sexy sanaa.. cheki S 650 maybach S 63 AMG, cheki Volvo S60 au S80. Cheki majesta, cheki Crown kuanzi 2011+.. hapo ujacheki Astorn Martin, bentley Sedan.. zipp sex vibaya, twende kwa AUDI A8 , MBW 7 Series hadi shemeji akiingia mahaba yanapanda nyuzi joto 😀😀😀😀...
Volvo S90
 
Mjapani anagusa kila Level ya uchumi ndio maana wanamuona maandazi tu. Nadhani magari anayotoa TOYOTA tu ukiachilia akina Nissan, yanafika 150+. Mjerumani ana magari machache sanaaa
Mjapani hiyo ndiyo biashara yake ya kufa na kupona ndiyo uchumi wake, tofauti Na German anadeal zaidi na heavy trucks ambazo performance zake zinauza Dunia nzima. Scania, Volvo, Benz actros n.k.
 
Sedan zipo sexy sanaa.. cheki S 650 maybach S 63 AMG, cheki Volvo S60 au S80. Cheki majesta, cheki Crown kuanzi 2011+.. hapo ujacheki Astorn Martin, bentley Sedan.. zipp sex vibaya, twende kwa AUDI A8 , MBW 7 Series hadi shemeji akiingia mahaba yanapanda nyuzi joto 😀😀😀😀...
Sedan zimekaa chini sana ni ngumu kwenda nazo vijijini!
 
Back
Top Bottom