Nimesema kama atakubali nimtaje basi leo hii nitamtaja, kama atakataa basi sitamtaja kwa kuwa tayari nishamfahamu! Au yeye mwenyewe atakuja humu kusema, na kama huamini kesho saa nne asubuhi njoo mbweni!JF siku hizi imekuwa ya Kiki kwa Pikipiki umaarufu kunuka,usikute mtoa mada anatafuta kiki tu,amesema kashampa mtu bila kumtaja,ingependeza amtaje ili hiyo kesho tuweze kuhoji kama kweli kapewa gari na apige picha aliweke humu hilo gari.
Kumtaja mtu kama umempa kuondoa walakini ni muhimu haivunji miiko ya JF.
Mkuu uko na uwezo gani kimali?
Kwa kuongezea hapa home nina computer ( desktop) ipo vizur ila nayo naiacha na naweza kumpatia yoyote, kama unahitaji tuchekiane then kesho nikupatie!JF siku hizi imekuwa ya Kiki kwa Pikipiki umaarufu kunuka,usikute mtoa mada anatafuta kiki tu,amesema kashampa mtu bila kumtaja,ingependeza amtaje ili hiyo kesho tuweze kuhoji kama kweli kapewa gari na apige picha aliweke humu hilo gari.
Kumtaja mtu kama umempa kuondoa walakini ni muhimu haivunji miiko ya JF.
Sio suala la mali, sina mali zozote zaidi ya hilo gari na kanyumba tu ka kawaida huku mbweni!Mkuu uko na uwezo gani kimali?
Kama ni kweli basi vyuma kwako ndio Kwanza vipyaaa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
We mtaje tu mkuu sidhani kama ni kosa au huyo aliyepewa ataona umemdhalilisha!!Nimesema kama atakubali nimtaje basi leo hii nitamtaja, kama atakataa basi sitamtaja kwa kuwa tayari nishamfahamu! Au yeye mwenyewe atakuja humu kusema, na kama huamini kesho saa nne asubuhi njoo mbweni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshaeleza hapo juu, nilishawahi kumpatia ndugu pikipiki honda xlr na baadae niliona maneno yalivyokuwa! Ikisumbua kidogo matengenezo ya kawaida wanaanza kusema nawapa vitu vibovu nilivyovichoka.Ila hii ni Kiki kwan kwenu huna ndugu wa kumpa hyo gari?
Acha misifa ya kijinga braza!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mimi ninazo Laptop mbili na Desktop moja,kwakuwa umenipa offer naomba umpatie hiyo Desktop witnessj kwa niaba yangu.Kwa kuongezea hapa home nina computer ( desktop) ipo vizur ila nayo naiacha na naweza kumpatia yoyote, kama unahitaji tuchekiane then kesho nikupatie!
Sent using Jamii Forums mobile app
Atajua yeye maana nimemgudia hiko kitu ila naona kawa mpole, so ni uhuru wake kuja kusema au kukaa kimya ila nilichomsisitiza ni asitaje jina langu kamili kwa mtu yoyote humu!We mtaje tu mkuu sidhani kama ni kosa au huyo aliyepewa ataona umemdhalilisha!!
Sikukuambia hivyo kwa lengo la kujitweza, nilikuwa serious ila haina shida kwa maana wataokuja kupanga hapa wataikuta!Sawa mimi ninazo Laptop mbili na Desktop moja,kwakuwa umenipa offer naomba umpatie hiyo Desktop witnessj kwa niaba yangu.
Sawa ili tuamini hiyo Desktop ulinipa kama offer naomba uiweke atakuja kuichukua witnessj na yeye kama hana uhitaji nayo naye ataigawa kwa mwenye uhitaji.Atajua yeye maana nimemgudia hiko kitu ila naona kawa mpole, so ni uhuru wake kuja kusema au kukaa kimya ila nilichomsisitiza ni asitaje jina langu kamili kwa mtu yoyote humu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sh ngapi?Habari wana jf,
Nina gari aina ya Toyota Mark II Grande (gx 110), nimeitumia kwa zaidi ya miaka minne sasa na hali yake sio mbaya sana japo inahitaji marekebisho kidogo kwenye tairi za nyuma( kubadilisha tu ball joints).
Nimefikiria kuiuza lakini changamoto za wanunuzi na usumbufu wa kila aina sitaki kabisa, hivyo kwa dhati hii gari nitaiacha na nitaitoa bure kabisa kwa yeyote anaehitaji.
Kwa nini sasa? Kwa sababu nina safari ya kwenda mbali kidogo mwezi huu mwishoni na kurudi yaweza kuwa miaka minne au mitano ijayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpatie mwana JF mwenzetu ili tuamini maana unavyorukaruka tunaanza kuamini ni KIKI,Ukimpatia mtu Desktop hiyo tofauti na huyo asiyejulikana na gari wengi tutaamini,mimi nimechagua umpatie witnessj hiyo Desktop.Sikukuambia hivyo kwa lengo la kujitweza, nilikuwa serious ila haina shida kwa maana wataokuja kupanga hapa wataikuta!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo desktop nimekueleza wataikuta wataokuja kupanga hapa! Ila ningeweza kukupatia ww hyo kesho, ili tu uamini nachokisema! Sasa huyo witnessj sina sababu ya kumpatiaSawa ili tuamini hiyo Desktop ulinipa kama offer naomba uiweke atakuja kuichukua witnessj na yeye kama hana uhitaji nayo naye ataigawa kwa mwenye uhitaji.
Gari ishapata mtu nyie mmechelewa pitia kila post unapokuta uzi bado aujafika mbali usipende kuandika kwanza soma ujue uanzie wapi