kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna member tushaongea na ntampatia kesho!Nipe Mimi mkuu[emoji120][emoji120][emoji120]
Ishapta mtu muda si mrefu, sikuwa nahitaj tena kuliuza!tuma picha na bei mkuu inawezekana ukaambulia nusu hasara,,,wadau wakakuchangia pesa hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishapata mtu na tumeelewana kesho nampatiaWeka Picha tuone ilo gari
Si kila kitu cha kuwapa ndugu, maneno ni mengi! Siku shock up zikisumbua ataanza kusema nimempa kitu kibovu au nilichokichoka!
Nishampatia mtu!Ukienda Gerezani au Ilala utapata wanunuzi kama scraper!!
Kuna mtu nimeshaongea nae na nitampatia kesho!Hyo gari haipigiki picha?
We sema unataka kutuachia fisi new model[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Now day no free lunch braza!
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeeh basi na hiyo nyumba unayoishi nigaie mimi mzee baba wengine tunaishi kwenye nyumba za tembeSi kila kitu cha kuwapa ndugu, maneno ni mengi! Siku shock up zikisumbua ataanza kusema nimempa kitu kibovu au nilichokichoka!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba inabaki na wapangaji na nishawapata wataingia mwezi wa pili tarehe 1Eeeeh basi na hiyo nyumba unayoishi nigaie mimi mzee baba wengine tunaishi kwenye nyumba za tembe
Sent using Jamii Forums mobile app
😢😢😢😢
ko wataka tuje kipindi unamkabidhi ama tupige picha ya ukumbusho.Updates:
kuna member mmoja baada ya kuweka post tu akanitumia msg (pm) na tukajadiliana na akanipigia simu muda si mrefu na nimekubali kumpatia hilo gari siku ya kesho. So gari imeshapata mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Updates:
kuna member mmoja baada ya kuweka post tu akanitumia msg (pm) na tukajadiliana na akanipigia simu muda si mrefu na nimekubali kumpatia hilo gari siku ya kesho. So gari imeshapata mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo mkuu, wengine tupo namanyere ndani uku kulekea ziwa tanganyika upande wa Rukwa
JF siku hizi imekuwa ya Kiki kwa Pikipiki umaarufu kunuka,usikute mtoa mada anatafuta kiki tu,amesema kashampa mtu bila kumtaja,ingependeza amtaje ili hiyo kesho tuweze kuhoji kama kweli kapewa gari na apige picha aliweke humu hilo gari.Eeeeh basi na hiyo nyumba unayoishi nigaie mimi mzee baba wengine tunaishi kwenye nyumba za tembe
Sent using Jamii Forums mobile app