Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba mimiKwa kuongezea hapa home nina computer ( desktop) ipo vizur ila nayo naiacha na naweza kumpatia yoyote, kama unahitaji tuchekiane then kesho nikupatie!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi najua hana uhitaji nayo mkuu mwambie anipe mimiSawa ili tuamini hiyo Desktop ulinipa kama offer naomba uiweke atakuja kuichukua witnessj na yeye kama hana uhitaji nayo naye ataigawa kwa mwenye uhitaji.
Unauhakika?
King Kong lll, Kwani huyo witness amekwambia nahitaji hiyo desk top ?, muache Per diem apumue mimi nimemuelewaMpatie mwana JF mwenzetu ili tuamini maana unavyorukaruka tunaanza kuamini ni KIKI,Ukimpatia mtu Desktop hiyo tofauti na huyo asiyejulikana na gari wengi tutaamini,mimi nimechagua umpatie witnessj hiyo Desktop.
Kweli watanzania hamna maana.Ina maana ww hauna rafiki au hta jirani mlioshibana kama swahiba wa karibu, mpka umtafute mtu kwenye mtandao uku! Et ndio uje umpe iyo srepa bure! Kuna jambo c bure
Sent using Jamii Forums mobile app
FukuaaaaNaruhusiwa kufukua makaburi???
Na mtu atakaelizwa naomba aje kulia hapa hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani kama mumesoma comment vizuri alisema hakutaka kumpa mtu anayemfahamu kwasababu siku ikizingua ataanza lawama kwamba amempa kitu kibovu au ambacho hakifai simunajua ndugu lawama? ndio maana akataka kumpa mtu asiyemjua kabisa.Yaani kama vile watu wana data za bure vile! ...Hata kama wewe ni yatima usiye na ndugu wala rafiki, hata jirani huna? Vipi kuhusu kuwapa Salvation Army au Red Cross, ambao wamejitoa kusaidia jamii kwa upana wake?
Cut it out SOB; sio hulka ya mwanadamu!
Jamani kama mumesoma comment vizuri alisema hakutaka kumpa mtu anayemfahamu kwasababu siku ikizingua ataanza lawama kwamba amempa kitu kibovu au ambacho hakifai simunajua ndugu lawama? ndio maana akataka kumpa mtu asiyemjua kabisa.
huko ni tanzania au Drc?Acha uongo mkuu, wengine tupo namanyere ndani uku kulekea ziwa tanganyika upande wa Rukwa
Umeshaambiwa mkweche halafu unataka ibebee wagonjwa .kwanini usiigawe kwenye hospitali iliyo karibu na wewe...wakaifanya gari ya wagonjwa
Hahahaha Jamaa amesema eti anaicha ndani watakaokuja kupanga wataikuta.