Gari ya Dangote yaacha njia na kuparamia nyumba, imesababisha foleni sana

Gari ya Dangote yaacha njia na kuparamia nyumba, imesababisha foleni sana

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
IMG_20200816_133648.jpg
IMG_20200816_133844.jpg
imeziba barabara ya Kilwa. Ni katikati ya Kipati na saba saba kwa Mpili

Inasemekana lilimshinda dereva na kuhama barabara na kuparamia nyumba na kuharibu mali za watu.
Kuna foleni kubwa sana.


UPDATES
Eneo ambalo gari liliaribu jana
IMG_20200817_125258.jpg

IMG_20200817_125246.jpg

IMG_20200817_125303.jpg
 
Imrharibu nyuma na Biashara za watu kama Masofa duka la ving'amuzi vya aina zote
 
Hatari sana. Ingekuwa usiku kwa tabia za wizi sidhani kama mzigo ungesalimika....
Betri ipo kweli...
 
View attachment 1539199View attachment 1539200imeziba barabara ya Kilwa.

Inasemekana lilimshinda dereva na kuhama barabara na kuparamia nyumba na kuharibu mali za watu.
Kuna foleni kubwa sana.
Haya malori ya kichina Kule china yanauzwa kwa mafungu. Dangote alinunua malori 500 sawa na scania mpya 10. Akafika Tz akaitwa mwekezaji mkubwa.
 
Haya malori ya kichina Kule china yanauzwa kwa mafungu. Dangote alinunua malori 500 sawa na scania mpya 10. Akafika Tz akaitwa mwekezaji mkubwa.
Wala tatizo sio magari ni madereva, kuna siku nimepanda nilikuwa nasafirisha mzigo tani 32,kutoka mpanda kwenda kahama tulitumia masaa 12!!!siku hiyo sitakuja isahau maishani!!! Nilitamani niteremkie njiani!! Wakawa wanasema lazima waendeshe hivyo kwani hiyo route haiko ki ofisi, ni ya kwao!!!
 
Ujataja eneo inaonesha. Kana kwamba mvua inanyesha pande hzo kilwa road Ni wapi kongowe au vikindu au rufij.
 
Back
Top Bottom