DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Dogo unatafuta mitama halafu uanze kulialiaBasi huyo Dereva itakuwa Adam Mchomvu ( Bangi / Bange ) ilikuwepo sana Kichwani mwake au yawezekana aliyoivuta hii leo ni ile ya Kimalawi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo unatafuta mitama halafu uanze kulialiaBasi huyo Dereva itakuwa Adam Mchomvu ( Bangi / Bange ) ilikuwepo sana Kichwani mwake au yawezekana aliyoivuta hii leo ni ile ya Kimalawi tu.
Mbasha kwa ushamba ule anaweza kuendesha gari kwenye tope?Isije kuwa dreva alikuwa Mbasha
Ina maana magari yake hayana tracking devices mpaka madere wanafanya hayo?Wala tatizo sio magari ni madereva, kuna siku nimepanda nilikuwa nasafirisha mzigo tani 32,kutoka mpanda kwenda kahama tulitumia masaa 12!!!siku hiyo sitakuja isahau maishani!!! Nilitamani niteremkie njiani!! Wakawa wanasema lazima waendeshe hivyo kwani hiyo route haiko ki ofisi, ni ya kwao!!!
Unahesabu maalori tu, umepiga hesabu ya kile kiwanda pia?Haya malori ya kichina Kule china yanauzwa kwa mafungu. Dangote alinunua malori 500 sawa na scania mpya 10. Akafika Tz akaitwa mwekezaji mkubwa.
Ndio wapi huko mkuu? Dodoma au Tanga?Kati ya 7 saba kwa mpili na Kipati
lete ushahidi wa hicho unachokisemaHaya malori ya kichina Kule china yanauzwa kwa mafungu. Dangote alinunua malori 500 sawa na scania mpya 10. Akafika Tz akaitwa mwekezaji mkubwa.
Khe???.Magari ya Dangote kule Nigeria ndio yanaongoza kwa ajali nchi nzima.
Hakuna gari la dangote ambalo halina tracking device, bali wanachofanya madereva ni kutoa taarifa kuwa gari limeharibika kwenye mfumo wa betri, nyaya zimeungua hivyo amepaki polini, inabidi asubilie spea, atumiwe, hivyo anachofanya ni kuchezea hicho kifaa kwani kitakuwa hakisomi yupo wapi, anafanya yake, japo kuna baadhi ya mabosi anakula nao, kwani utaratibu waliowekewa kuna watu wamepewa kazi kuwa ukiliona tu gari la dangote labda lina mzigo ambao sio cement, piga picha warushie wahusika!!Ina maana magari yake hayana tracking devices mpaka madere wanafanya hayo?
View attachment 1539199View attachment 1539200imeziba barabara ya Kilwa.
Inasemekana lilimshinda dereva na kuhama barabara na kuparamia nyumba na kuharibu mali za watu.
Kuna foleni kubwa sana.
Yan imetoka upande wa pili wa barabara mpaka upande wa pili
Magari ya kichina ndivyo yalivyo. Scania baba Lao.
Imeanguka kwa bahati mbaya tu au Hasira za Dereva labda kutokupewa Posho yake au kulipwa Mshahara kwa wakati ndiko kumesababisha hili?
Madereva wa hii kampuni wanasafiri miendo mirefu sana bila kua na Tingo wala Madereva wasaidizi. Dereva anakanyaga gia mtwara mpaka Kyaka na sio tripu moja tu
Haya malori ya kichina Kule china yanauzwa kwa mafungu. Dangote alinunua malori 500 sawa na scania mpya 10. Akafika Tz akaitwa mwekezaji mkubwa.