wanakuambia eti kipanya anaunga unga gari na hajabuni.
kitu ambacho hawajui ni kuwa kuna kampuni nyungi za utengenezaji magari ambazo hununua spare parts kutoka viwanda nguli vya vyuma
mfano. Volkswagen- wananunua engine spare parts kutoka kwa Dutch machines
Kama unaona anachofanya masudi ni simple kwanini usifanye wewe?
Nchii imejaa watu wenye sumu wasiojua kuwa ni ngumu kuanzisha kitu ila ni rahisi kubomoa