Gari ya kukodi inahitajika

Gari ya kukodi inahitajika

[emoji23][emoji23] hakika ni yeye umenikumbusha mbali sana, nilikuwa namtumia miaka ya 2000 mwanzoni enzi hizo hakuna bajaji wala boda.

Alikuwa ni moja ya taxi drivers wanao aminika sana ingawa alikuwa mtu wa tungi sana. Juzi kati nilikuwa Sgd nikamwona anaendesha Virgo moja nadhani ameajiriwa mahali kwa sasa.
Alikuwa na Toyota Mark 2 TZQ 1
 
Kuna vx na prado tx zipo dar unakuja kufanya maelewano unapelekewa mpaka singida
 
Daah nimechelewa sana kuingia humu kama bado unaendelea na mchakato kwa mwezi mmoja mbele gari itakuwa free mkuu usisite PM.
 
Upo sehem gan ? Veta, kibaoni, generi, Mwenge, Karakana msufini,
Nikuletee gari yangu Noah

Noah ni nzur Sana Kwa hiyo kazi yako
Gari vipi mkuu upo kimya haukunijibu mbona
 
Back
Top Bottom