Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Kugonga gia nako kutamu mzee.Aah hapo labda uwe jason frisby! Maana yule chalii gari ya manual anaumanisha gia kama automatic yani!
We na automatic huwezi mkamata.
Alex au Run X anunue ambazo zimesajiliwa recently kwa bei hio anapata.Sio mtaalam sana ila kwa ushauri wangu zingatia haya
1.Upatikanaji wa spare
2.Gharama za spare
3.Fuel consumption budget yako
4.Mizunguko yako yenye kuhitaji hilo gari
5.Engine size
6.Gari inayouzika kwa haraka utakapohitaji kubadilisha au kutumia gari kutatua matatizo
Anza na IST old model, Vitz old model late version ile yenye taa za kijicho, Spacio, Toyota Allex au Runx ingawa hizo 2 za mwisho sijui bei zake.
Shipa. Presure itammalizaChukua ISUZU Bighorn bei 1900 USD (CIF) mpaka bongo.
View attachment 2116398
View attachment 2116401
How? Motivational speakers wanatsisitiza tusiogope chochote. Ikiwemo kumilik magari makubwaShipa. Presure itammaliza
Shipa hilo, asijaribu, ataumia!Chukua ISUZU Bighorn bei 1900 USD (CIF) mpaka bongo.
View attachment 2116398
View attachment 2116401
You have said it all mzeeKwa uhakika kwa sifa hizi...
1. Ni mara yako ya kwanza kumiliki gari
2. Huna ujuzi wowote wa kumiliki magari
3. Budget yako ni 12m
Gari inayokufaa zaidi ni Toyota IST old model. Huwezi kujutia kabisa.
Naona pia umewaza kuhusu Toyota IST new model, lakini jibu unalo tayari, gharama ya kuweza kulinunua iko juu zaidi japokuwa ni gari nzuri pia. Kama hiyo ndio dream yako, na ikiwa ni suala la kufa na kupona basi inabidi uvute subira na ujipange zaidi ili ujiongeze na kufikia around 16m ili kufikia ndoto zako.
Ushauri mzuri Sana na Uzi ufungweSio mtaalam sana ila kwa ushauri wangu zingatia haya
1.Upatikanaji wa spare
2.Gharama za spare
3.Fuel consumption budget yako
4.Mizunguko yako yenye kuhitaji hilo gari
5.Engine size
6.Gari inayouzika kwa haraka utakapohitaji kubadilisha au kutumia gari kutatua matatizo
Anza na IST old model, Vitz old model late version ile yenye taa za kijicho, Spacio, Toyota Allex au Runx ingawa hizo 2 za mwisho sijui bei zake.
Gari ni imported from UK hiiLeta 10M nikupe nissan xtrail kinanda.
Engine yd22,
mzigo ni DIESEL,
kama ni mpenzi wa manual hapa ndio mahala pake, ina gia 7(6+1 rivasi)
SPEED 220 ukiwa unapenda kukimbizana itakutoa roho, kiyoyozi to the maximum kama upo mjini Moscow kwa Ankali PutinView attachment 2116412View attachment 2116413View attachment 2116414
Hizo spacio new model ni version ya kuanzia mwaka Gani kiongozi?Tofauti na IST ningekushauri kuchukua Spacio new model, around 13-14m unavuta mkoko kutoka Japan.
Usione hizo gari zimejaa barabarani huku mitaani, zina sababu zake za msingi.
Ahsante mkuu Kwa ushauri,Sio mtaalam sana ila kwa ushauri wangu zingatia haya
1.Upatikanaji wa spare
2.Gharama za spare
3.Fuel consumption budget yako
4.Mizunguko yako yenye kuhitaji hilo gari
5.Engine size
6.Gari inayouzika kwa haraka utakapohitaji kubadilisha au kutumia gari kutatua matatizo
Anza na IST old model, Vitz old model late version ile yenye taa za kijicho, Spacio, Toyota Allex au Runx ingawa hizo 2 za mwisho sijui bei zake.
Watu wanahangaika na Manual sijui wanatafuta nn na stress hiziGia 7 kupangua sini mateso mkuu😂😂😂 hii ikitokea emergency lazma kiumane