Gari ya Tsh. 12M

Gari ya Tsh. 12M

Sio mtaalam sana ila kwa ushauri wangu zingatia haya
1.Upatikanaji wa spare
2.Gharama za spare
3.Fuel consumption budget yako
4.Mizunguko yako yenye kuhitaji hilo gari
5.Engine size
6.Gari inayouzika kwa haraka utakapohitaji kubadilisha au kutumia gari kutatua matatizo

Anza na IST old model, Vitz old model late version ile yenye taa za kijicho, Spacio, Toyota Allex au Runx ingawa hizo 2 za mwisho sijui bei zake.
 
Sio mtaalam sana ila kwa ushauri wangu zingatia haya
1.Upatikanaji wa spare
2.Gharama za spare
3.Fuel consumption budget yako
4.Mizunguko yako yenye kuhitaji hilo gari
5.Engine size
6.Gari inayouzika kwa haraka utakapohitaji kubadilisha au kutumia gari kutatua matatizo

Anza na IST old model, Vitz old model late version ile yenye taa za kijicho, Spacio, Toyota Allex au Runx ingawa hizo 2 za mwisho sijui bei zake.
Alex au Run X anunue ambazo zimesajiliwa recently kwa bei hio anapata.

DY akitafta kwa pesa yake anaipata tu ambayo imenyooka bila maumivu ya kodi za ajabu TRA ni kubadili kadi tu maisha yaende
 
Kwa uhakika kwa sifa hizi...
1. Ni mara yako ya kwanza kumiliki gari
2. Huna ujuzi wowote wa kumiliki magari
3. Budget yako ni 12m

Gari inayokufaa zaidi ni Toyota IST old model. Huwezi kujutia kabisa.

Naona pia umewaza kuhusu Toyota IST new model, lakini jibu unalo tayari, gharama ya kuweza kulinunua iko juu zaidi japokuwa ni gari nzuri pia. Kama hiyo ndio dream yako, na ikiwa ni suala la kufa na kupona basi inabidi uvute subira na ujipange zaidi ili ujiongeze na kufikia around 16m ili kufikia ndoto zako.
You have said it all mzee

Nyongeza, anaweza kufikiria pia kuhusiana na carina.
 
Sio mtaalam sana ila kwa ushauri wangu zingatia haya
1.Upatikanaji wa spare
2.Gharama za spare
3.Fuel consumption budget yako
4.Mizunguko yako yenye kuhitaji hilo gari
5.Engine size
6.Gari inayouzika kwa haraka utakapohitaji kubadilisha au kutumia gari kutatua matatizo

Anza na IST old model, Vitz old model late version ile yenye taa za kijicho, Spacio, Toyota Allex au Runx ingawa hizo 2 za mwisho sijui bei zake.
Ushauri mzuri Sana na Uzi ufungwe

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Tofauti na IST ningekushauri kuchukua Spacio new model, around 13-14m unavuta mkoko kutoka Japan.

Usione hizo gari zimejaa barabarani huku mitaani, zina sababu zake za msingi.
Hizo spacio new model ni version ya kuanzia mwaka Gani kiongozi?
 
Yote kwa yote sikushauri kununua gari yoyote kutoka mkononi mwa mtu, unaweza kupigwa kwa kuuziwa kimeo na kikakutesa. Jipange kuvuna chuma kutoka Japan.
Mkuu hapo [emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]
 
Sio mtaalam sana ila kwa ushauri wangu zingatia haya
1.Upatikanaji wa spare
2.Gharama za spare
3.Fuel consumption budget yako
4.Mizunguko yako yenye kuhitaji hilo gari
5.Engine size
6.Gari inayouzika kwa haraka utakapohitaji kubadilisha au kutumia gari kutatua matatizo

Anza na IST old model, Vitz old model late version ile yenye taa za kijicho, Spacio, Toyota Allex au Runx ingawa hizo 2 za mwisho sijui bei zake.
Ahsante mkuu Kwa ushauri,
Mkuu hivi hio IST old model au Passo inaweza kutembea dar to mwanza non stop au kupumzika tu Kwa muda mfupi?
 
Back
Top Bottom