Gari ya Tsh. 12M

Gari ya Tsh. 12M

Cheki hii chuma ni 15M tu
 

Attachments

  • IMG_1221.jpg
    IMG_1221.jpg
    51.2 KB · Views: 85
Gari gani yakishamba hio kwani wewe ni mzee au mshamba wa vijijini? Ongera Pesa ufike 15 nunua zako Crown or Bmw uenjoy maisha achana na ivyo vigari vyakubebea nyasi spacio sibebi hata bure hata kwa lift sipandi ni mara mia nitembee
Duh![emoji15][emoji15][emoji15]
 
Njoo nikupe Ractis ina siku 5 toka itoke bandarini nauza sababu nimeagiza gari nyingine kodi imekua kubwa na pesa ya ziada nimeishiwa ina document zote.
20220213_064155.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu me kwenye magari ni zero brain hivyo nahitaji watu kama nyie mnipe ABC za magari.
Hii ndinga ni aina Gani na Bei Gani showroom?

Nakuambia pitia account moja IG jamaa anaitwa Magari mtaani Cheki pale Utakua BMW S1 kalii na zingine nyingi kulingana na pesa yako hila sipasio Ni gari ya kiboya
 
Ahsante mkuu Kwa ushauri,
Mkuu hivi hio IST old model au Passo inaweza kutembea dar to mwanza non stop au kupumzika tu Kwa muda mfupi?

Binafsi sijawahi kwenda nazo ila wadau wanadai wanaenda nazo.
Nina rafiki zangu wanaendaga Dar Arusha,Dar Mtwara kwa IST , mwingine Dar Simiyu kwa Toyota Allex.

Well,unapotaka kwenda safari ndefu ya mkoani au nchi jirani.Kagua gari zingatia ubora wa
Brakes
Rejeta
Engine oil
Matairi yako
Jerk
Kamba au nyororo y kuvutia
Pesa za kuhonga traffic polisi njiani (tochi)
Ikiwezekana usiwe peke ako.
 
Chukua ushauri wangu mkuu
Kwa hiyo pesa nenda showroom nzuri dar utapata toyota spacio new model 1490cc ya seat 7 hautokuja kujuta. Spacio na ist ulaji wa mafuta zinafanana tu ila spacio inabeba watu zaidi

Hivi mkuu IST za 2005 sio 1290cc au ulaji wa wese na hiyo 1490cc spacio ni sawa maana sijawahi kuzitumia
 
Ahsante mkuu Kwa ushauri,
Mkuu hivi hio IST old model au Passo inaweza kutembea dar to mwanza non stop au kupumzika tu Kwa muda mfupi?
Boss natumia passo mwaka wa sita huu and ni ya pili ya kwanza niliuza. Huwa nasafiri mara nyingi dar mwanza every 3 month na huwa naenda na passo nikiwasha gari saa tisa mchana saa tatu asubuhi huwa nipo dar and gari ikiwaka mwanza hiwa nazima saa tatu dar. Na kama naondoka saa 12 hua nafika dar saa sita ama tano na nusu usiku hivo nina experience na hii gari. Na huwa nina abiria level seat huwa sitaki hasara mie. Gari yangu toka imetoka badarini haijawahifunguliwa vioo ni full ac
 
Binafsi sijawahi kwenda nazo ila wadau wanadai wanaenda nazo.
Nina rafiki zangu wanaendaga Dar Arusha,Dar Mtwara kwa IST , mwingine Dar Simiyu kwa Toyota Allex.

Well,unapotaka kwenda safari ndefu ya mkoani au nchi jirani.Kagua gari zingatia ubora wa
Brakes
Rejeta
Engine oil
Matairi yako
Jerk
Kamba au nyororo y kuvutia
Pesa za kuhonga traffic polisi njiani (tochi)
Ikiwezekana usiwe peke ako.
Zaman nlikuwa napigwa tochi balaaa ila nina mwaka wa pili sijawahipigwa tochi njia ya mwanza dsr sema kuna trafiki wana njaa sana singida hadi dodoma na wengine dumila kama sikosei
 
Option ingine ni rumion hii watu wanaibeza ila ni gari nzuri sana. Ukitaka kujua uzuri w gari angalia ni watu wangapi wameinunua spacio ni nyingi sana, rumion japo ni gari zimekuwa maarufu hivi karibuni ila ni nyingi sana mtaani
 
Boss natumia passo mwaka wa sita huu and ni ya pili ya kwanza niliuza. Huwa nasafiri mara nyingi dar mwanza every 3 month na huwa naenda na passo nikiwasha gari saa tisa mchana saa tatu asubuhi huwa nipo dar and gari ikiwaka mwanza hiwa nazima saa tatu dar. Na kama naondoka saa 12 hua nafika dar saa sita ama tano na nusu usiku hivo nina experience na hii gari. Na huwa nina abiria level seat huwa sitaki hasara mie. Gari yangu toka imetoka badarini haijawahifunguliwa vioo ni full ac
Mkuu ahsante sana Kwa experience Yako na mm Huwa nasafiri dar mwanza mara Moja Moja Kwa hiyo umenitoa hofu ya kuagiza hii gari.
 
Back
Top Bottom