Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kua uyaone....Gari za mikopo hizi zinamaliza pesa tu....yasikudanganyeHapa nikae vizuri naweza nikaruka na don mmoja
Duuh🤔🤔.. Wacha tuendelee kuendesha tu za watu kama ni hivyo tukinyang’anywa basiKua uyaone....Gari za mikopo hizi zinamaliza pesa tu....yasikudamganye
22.Najua humu sio kila mtu anagombania Daladala/Mwendokasi, niambie usafiri wako wa kwanza ulinunua ukiwa na umri wa miaka mingapi..?
Funguka Mkuu..!
Ume Anza na wewe😀🤣Hapa nikae vizuri naweza nikaruka na don mmoja
Amen......nimeishia kurenew leseni tu hii mara ya pili huku nikiwa na matumaini kuwa siku moja ntapata gari, God bless me.......
Hivi 2011 nilikuwa na umri gani?!Najua humu sio kila mtu anagombania Daladala/Mwendokasi, niambie usafiri wako wa kwanza ulinunua ukiwa na umri wa miaka mingapi..?
Funguka Mkuu..!
Mleta mada amesahau tu kusema kila mtu aseme ni gari gani anamiliki, nijichagulie mwenye brand kubwa niruke nae😃😃😂🥳Ume Anza na wewe😀🤣