MKILINDI
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 791
- 1,120
Karibu..Toyota Rav4 5door old modelMleta mada amesahau tu kusema kila mtu aseme ni gari gani anamiliki,, nijichagulie mwenye brand kubwa niruke nae😃😃😂🥳
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu..Toyota Rav4 5door old modelMleta mada amesahau tu kusema kila mtu aseme ni gari gani anamiliki,, nijichagulie mwenye brand kubwa niruke nae😃😃😂🥳
aisee kweli jf ime kuza 😀🤣Mleta mada amesahau tu kusema kila mtu aseme ni gari gani anamiliki,, nijichagulie mwenye brand kubwa niruke nae😃😃😂🥳
Tulia kwanza mkuu, ngoja tusubiri na wengine wengine nifanye comparison😑😑Karibu..Toyota Rav4 5door old model
Muone 😃😃.. Me wacha nisubiri matajiri wa jf hapa🍿🥤aisee kweli jf ime kuza 😀🤣
Haya tawire 😀🤣, nenda kwa tahadhari, maana matajiri hawanaga habari 🤣Muone 😃😃.. Me wacha nisubiri matajiri wa jf hapa🍿🥤
Matajiri hawanaga kelele,, nasubiri nione comments yenye maneno mawili yasizidi matatu😑😑Haya tawire 😀🤣, nenda kwa tahadhari, maana matajiri hawanaga habari 🤣
USI sahau we are using a keyboard 😆😀, so don't fall for barely words 🤣Matajiri hawanaga kelele,, nasubiri nione comments yenye maneno mawili yasizidi matatu😑😑
Itajulikana hukohuko bhana,, chamsingi brand new car🤒🤒USI sahau we are using a keyboard 😆😀, so don't fall for barely words 🤣
21yrsNajua humu sio kila mtu anagombania Daladala/Mwendokasi, niambie usafiri wako wa kwanza ulinunua ukiwa na umri wa miaka mingapi..?
Funguka Mkuu..!
Hata ya kuchora 😆😆Itajulikana hukohuko bhana,, chamsingi brand new car🤒🤒
Jf ilivyo na madon wengi unataka kuniambia sitapata hata mmoja🤔🤔🤒Hata ya kuchora 😆😆
Nao Wana vigezo vyao, uta sikia chura ya kijerumani IPO 😀🤣Jf ilivyo na madon wengi unataka kuniambia sitapata hata mmoja🤔🤔🤒
Toyota Mark ll Supercharger 24 Valves ndio gari ninayoipenda zaidi kuliko gari zote za Japenga.Najua humu sio kila mtu anagombania Daladala/Mwendokasi, niambie usafiri wako wa kwanza ulinunua ukiwa na umri wa miaka mingapi..?
Mimi 25 niliagiza Mkoko toka Japann.
Funguka Mkuu..!