Gari yako ya kwanza ulinunua ukiwa na umri gani?

Gari yako ya kwanza ulinunua ukiwa na umri gani?

Ushimen ni mzee wangu ndio, uki Acha jokes ni mzee wangu noma kiroho safi.

Yuko vizuri upstairs na mshauri mzuri, miksa rafiki flani hivi, sema ana nikaziaga nikiwa home😂🤣
,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kuna mahali huwa nakutana nae 😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Mzeee hovyo huyo
 
Back
Top Bottom