25 back in 2013 alteza gitaNajua humu sio kila mtu anagombania Daladala/Mwendokasi, niambie usafiri wako wa kwanza ulinunua ukiwa na umri wa miaka mingapi..?
Mimi 25 niliagiza Mkoko toka Japann.
Funguka Mkuu..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
25 back in 2013 alteza gitaNajua humu sio kila mtu anagombania Daladala/Mwendokasi, niambie usafiri wako wa kwanza ulinunua ukiwa na umri wa miaka mingapi..?
Mimi 25 niliagiza Mkoko toka Japann.
Funguka Mkuu..!
Mwenge hauruki mtaa, njoo hapa ushanipata laivu.....Hapa nikae vizuri naweza nikaruka na don mmoja
sema nili sahau Huku maliza dozi, maana vidonge Nili viiba😁😆Nilisha pona mimi....😑😑
Kawaida kwa wengi... Mimi nimebadilisha gari kama 4 hata kiwanja huko mashambani sina eti najipa moyo nitanunua mbezi beach siwezi ishi maporini bunju wala wazo au madale huko hakuna huduma kipindi hicho. Ama kweli sasa hivi nimejenga mbali zaidi ya huko maana huko now hakushikiki.27 tu nilikuwa na Rav 4 kipisi, hapo sina hata kiwanja
A.k.a nauli hasira au miguu haina foleni0-age up to now TZ 11 (ELEVEN)
Oyooooo!! 😘😘💋Acha nimpe tu potelea mbali nzi kufia kwenye ......
Nikutonye tu nina wake wawili ila naruhusiwa wanne kwa hiyo mtajibana tu na hao ila wivu na vita mwiko 😄 mtagawana fitoOyooooo!! 😘😘💋
Nakupenda peke yako daddie 😉
Kwanza mi sipendi ugomvi hilo ondoa shaka kabisaa!! G Wagon yangu isikose mafuta tu!Nikutonye tu nina wake wawili ila naruhusiwa wanne kwa hiyo mtajibana tu na hao ila wivu na vita mwiko 😄 mtagawana fito
Thank you my dear uwe na usiku mwema acha nivute picha sasa nilale 😄Kwanza mi sipendi ugomvi hilo ondoa shaka kabisaa!! G Wagon yangu isikose mafuta tu!
Good nyt daddie 😘
Damu ya Yesu ikulinde, uniote thawaa? 😉
Hizi conversation,kimasihara inanukia.Thank you my dear uwe na usiku mwema acha nivute picha sasa nilale 😄
Nakupa card kabisa
Kwa huyo anaweza kweli kukupa..ila naogopa kumpitisha nitakuwa Yuda🙆🙆🙆🤔🤔🤔Kwanza mi sipendi ugomvi hilo ondoa shaka kabisaa!! G Wagon yangu isikose mafuta tu!
Good nyt daddie 😘
Damu ya Yesu ikulinde, uniote thawaa? 😉
Kasema ana phoenix 😂😂😂😂Ye mwenyewe anapanda mwendokasi,hiyo funguo kaitoa wapi?maana ya geto tu Hana labda anipe ya trunker😁😁😁
Mpaka dada umekubali basi kweli daddie ananifaa 😂😂😂😂Kwa huyo anaweza kweli kukupa..ila naogopa kumpitisha nitakuwa Yuda🙆🙆🙆🤔🤔🤔
Mi sioYuda Eskariot ,niache🙌🙌🙌Mpaka dada umekubali basi kweli daddie ananifaa 😂😂😂😂
😂😂😂😂 mbona unaogopa tena??Mi sioYuda Eskariot ,niache🙌🙌🙌