Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Tayari kama umeipenda niambie hiyo hata mapacha 3 inawatosha😍😍😍 haya niandalie funguo yangu ya gari kwaajili ya clinic 🤰
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari kama umeipenda niambie hiyo hata mapacha 3 inawatosha😍😍😍 haya niandalie funguo yangu ya gari kwaajili ya clinic 🤰
Nimeipenda beibyy 🥰🥰🥰Tayari kama umeipenda niambie hiyo hata mapacha 3 inawatosha
Sasa na pension sichukui acha niongeze mkataba tu maana naona oda za nepi zinakuja kila mwakaNimeipenda beibyy 🥰🥰🥰
Mapacha siwataki ila ntadabo mwaka mtoto, mwaka mimba 😜
🤣🤣🤣🤣🤣 kabisaa daddieSasa na pension sichukui acha niongeze mkataba tu maana naona oda za nepi zinakuja kila mwaka
Watoto ni Baraka yaani kila unapoongeza na hela zinaongezeka tu maana unapiga kazi kama hakuna serikali 😄
Basi ngoja nitulie utakuwa unanipa lift kwenye G wagon yako si eti 🤗🤣🤣🤣🤣 hatarii bff mapema sana, nimechoka kero za dungadunga kwenye mwendokasi
Hakuna kulala usiku kazi mchana kazi🤣🤣🤣🤣🤣 kabisaa daddie
aisee soon nta ibuka kupata supu ya mbuzi, USI sahau kumwita mwa j 🤓.Hii chuma wanapanda hata wenye uti grade one...☹️
🤣🤣🤣🤣 bff niache kwanzaBasi ngoja nitulie utakuwa unanipa lift kwenye G wagon yako si eti 🤗
😂😂😂😂 wacha wee!!Hakuna kulala usiku kazi mchana kazi
Acha iwe hivyo who cares 😄 🤣
Allright big bro, hahaha hiyo 1970 SIna mpango hata wa ku exist duniani.Ngoja tukutane siku moja
Maana unaona sasa naitwa mtoto humu
Wakati 1970s nilikuwa nimeishaondoka home
Uwiii nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kabisaa daddie
🤣🤣🤣🤣 we hutaki G Wagon bffUwiii nimecheka 🤣🤣🤣🤣
Nmemkumbuka shupiwe wa kwenye mpali
Ila bff una mitego wewe 🤣🤣🤣
Mwa J bado anakunywa azuma mbwa yule...😜aisee soon nta ibuka kupata supu ya mbuzi, USI sahau kumwita mwa j 🤓.
Uki muambukiza Nini??, maana Ume furahi kweli🤣😆Mwa J bado anakunywa azuma mbwa yule...😜
Nilisha pona mimi....😑😑Uki muambukiza Nini??, maana Ume furahi kweli🤣😆
Kwa kweli kama kutembea duniani nimetembea na kuona tamaduni za watu wengi sanaAllright big bro, hahaha hiyo 1970 SIna mpango hata wa ku exist duniani.
Acha nimpe tu potelea mbali nzi kufia kwenye ......Uwiii nimecheka 🤣🤣🤣🤣
Nmemkumbuka shupiwe wa kwenye mpali
Ila bff una mitego wewe 🤣🤣🤣