Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe unaangalia vigezo na masharti kuzingatiwa?? 😂😂😂Mleta mada amesahau tu kusema kila mtu aseme ni gari gani anamiliki,, nijichagulie mwenye brand kubwa niruke nae😃😃😂🥳
Kaka ilikuwa Usha fika kwa malkia??
Mi naangalia mwenye G wagon 🤣🤣🤣Nipo bench la mbele hapa sitaki kupitwa leo
asante sana kwa kumbe naweza muopoa huyu dada daah ila tu asije anza niletea hadith zake za .....anaona kitu usiku🤣🤣🤣 haya dada Joannah Matonya na Anitha lake anakuita
Hapana mkuu hiyo ni way back zaidi ya miaka 40 iliyopitaKaka ilikuwa Usha fika kwa malkia??
Basi ulikuwa ahead, maana kwa umri huo kusogea nchi jirani uli kuwa kamanda.Hapana mkuu hiyo ni way back zaidi ya miaka 40 iliyopita
Ilikuwa nchi moja mashariki ya kati kwenye mafuta
Nilinunua used Nissan Skyline GT
Baada ya mwaka 1979 nikajipiga mpya black gt
Bei zake zimechangamka sana ila ipo sikuMi naangalia mwenye G wagon 🤣🤣🤣
Tajiri mtoto ss hivi unasukuma ndinga gani? 😜Bei zake zimechangamka sana ila ipo siku
Hata iwe ya miaka 15
😄 mkuu, mzee alinisaidia kuvuka Africa halafu akaniacha nisongeBasi ulikuwa ahead, maana kwa umri huo kusogea nchi jirani uli kuwa kamanda.
Vipi uli ingia legal au ndo zile kaza kiume??
Tuko pamoja ndugu..Inshaallaah 🙏🏾......nimeishia kurenew leseni tu hii mara ya pili huku nikiwa na matumaini kuwa siku moja ntapata gari, God bless me.......
Uuuuh! Kumbe Kuna kununua Gari?Najua humu sio kila mtu anagombania Daladala/Mwendokasi, niambie usafiri wako wa kwanza ulinunua ukiwa na umri wa miaka mingapi..?
Mimi 25 niliagiza Mkoko toka Japann.
Funguka Mkuu..!
Hahaha, ume nikumbuka story ya faroukh karin yule itv alikuwa baharia huwa nacheka Sana...😄 mkuu, mzee alinisaidia kuvuka Africa halafu akaniacha nisonge
Nilipita Yemen ndio nikapasua huko ila nilibahatika kupata kazi maana walikuwa bado sana
Sikusota sana ila maisha yalikuwa mazuri sana na thamani ya hela zao ni juu sana
Usijali ni hadithi ndefu iliyonizungusha Dunia
Ukitaka kupasua borders waone wote ni wajinga wewe ndio mjanja
Madereva wa STL na STK hatuwataki hapa 🤣🤣Mi naangalia mwenye G wagon 🤣🤣🤣
Hapa kuna 2 za watoto moja ya wife moja ya mzee sio mtotoTajiri mtoto ss hivi unasukuma ndinga gani? 😜