Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
😆😆sasa hapa mkuu, ajali ikitokea si ndo kugongaana na hayo mawe na matofali ndani ya gari........mimi naona asindikizwe na baby pamoja na dada yake kurudi hom....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆sasa hapa mkuu, ajali ikitokea si ndo kugongaana na hayo mawe na matofali ndani ya gari........mimi naona asindikizwe na baby pamoja na dada yake kurudi hom....
Sijakuelewa hapo paragraph ya mwisho. Kwamba vibaka, kucheza na mke?Ndugu nunua gari basi achha kupata shida kama hizo, kanunue gari ndugu yangu narudia tena kanunue gari hiyo sio gari
ila kwa ushauri weka viroba vya mchanga hata viwili au vitatu vya kilo 100 kwa kila kiroba hapo gari itakuwa nzito
lakini pia ndugu mwendo mkali unaua haina maana kuwa mwendo mdogo hauwezi kuuwa ila kuna tofauti sana ya mtu anayetembea nje usiku wa manane maeneo ya vibaka na anayecheza ndani kwake na mke wake usiku wa manane
😅Mtu wa nne huyu anasema hivi.
Huu ushauri mko serious mazee?
ivo viroba anaweka kwenye siti au boot?Unanikumbusha miaka ya 80 niliugua nikawa mwepesi kama karatasi, ilinibidi niweke make mfukoni ili upepo usinipeperushe. Chukua viroba jaza mchanga uweke kwenye gari.
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] imenbidi ncheke kwa kweli weee mrusi huna akiliGari yako ni nyepesi sana sababu imetengenezwa na mabati malaini.
Ushauri wangu uwe unaweka mawe ndani ya gari kabla hujaanza safari! Weka mawe au tofali za kutosha ndani ya gari ili kuepuka hatari inayoweza kutokea.
Inaweza kuwa wheel balance ama pia bushings za wishbone zikiwa zimeisha kunakuwa na hali flani ya play...Gari halitulii!Kwanza umetuletea mada zaidi ya tatu kwa mpigo..
1..Umetueleza unavyospend na demu wako gheto...
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee! Basi sawa.Nani alikumbia Vitz ni gari
Tena anapikiwa chakula kitamu sana[emoji28][emoji28][emoji28]Ushasema ni babywalker sisadhan kama Kuna haja ya kujadili hapo.
Halaf hizo story za demu wako zilikuwa na ulazima sana?
Low Profile tires ndio zikoje bro. Yaani tairi fupi fupi? Mfano rim size nilizonazo ni 185/65/R14 kwahiyo natakiwa nizitoe niweke 175/65/R13?Kufunga low profile tires husaidia kwa kiasi chake. Mie naipata 140kph gari ikiwa stable kabisa japo sipendi kuifikisha gari huko.
Hapana mkuu, Low profile maana yake tairi pana zenye nyama fupi pembeni.Low Profile tires ndio zikoje bro. Yaani tairi fupi fupi? Mfano rim size nilizonazo ni 185/65/R14 kwahiyo natakita nizitoe niweke 175/65/R13?
Kama hili 205/55 R15 litakufaa sana.Low Profile tires ndio zikoje bro. Yaani tairi fupi fupi? Mfano rim size nilizonazo ni 185/65/R14 kwahiyo natakita nizitoe niweke 175/65/R13?
Hahahhahahahaha! Jamaa ni shida sanaTena anapikiwa chakula kitamu sana[emoji28][emoji28][emoji28]
Ushasema ni babywalker sisadhan kama Kuna haja ya kujadili hapo.
Halaf hizo story za demu wako zilikuwa na ulazima sana?
Kuna uzi mwingine nimemuita limbukeni wa maisha aka'mind..[emoji41][emoji41][emoji41]Jamaa ni limbukeni tumvumilie tu [emoji3][emoji3]