Aise pole sana..
Kwa sababu umesema kuna wakati inawasha CEL,,
Nenda kafanye diagnosis....
Unaweza ukakuta Coolant Temperature Sensor imekufa, hivyo inqshindwa kutoantaarifa ili feni iwake kwa wakati..
Au huenda feni yako ina shida, huenda inafunguka ila siyo sana.