Jiandae kupaki kwa taa hiyo ya pink.habarini ndugu,
Gari yangu inawaka vitaa hivyo pichani sielewi tatizo ni nini.
Naombeni msaada wenu nianzie wapi maana siko vizuri sana kwenye nyanja hii ya magari nimeona bora nilifikishe kwenu ili nipate pakuanzia.
Msaada wenu ni muhimu kwangu.
Wasalam.
Ni toyota IST nduguKama ni Magari ya ulaya hiyo taa ya airbag kuna mahali kuna kiswitch unatakiwa uweke airbag off kama umempakiza mtoto na huwa inawaka endapo mkandamizo au uzito wa aliyekaa au kito ulichoweka kiti cha mbele haukufika wastani fulani.
Hiyo ya check engine inawezekana ni muda wa services, air sensor, plugs, water system, ama oil levels havipo sawa. Muone fundi.
All the best
waone mafundi haraka kiongozi, sababu hiyo ya engine ni issue lakini hiyo airbag haina tatizo saana ...Ya mkanda nikifunga inaondoka ila jizo mbili haziondoki msaada pliz
Basi nenda kwa wenye mashine za diagnostic watakuambia shida ipo wapi baada ya kuichekiNi toyota IST ndugu
Dah ..kumbe umepata gari tayari chief ππππhabarini ndugu,
Gari yangu inawaka vitaa hivyo pichani sielewi tatizo ni nini.
Naombeni msaada wenu nianzie wapi maana siko vizuri sana kwenye nyanja hii ya magari nimeona bora nilifikishe kwenu ili nipate pakuanzia.
Msaada wenu ni muhimu kwangu.
Wasalam.
Haya iendeshe upeleke kwa fundi wako gereji,kama unataka kujifunza ufundi magari nenda Veta watakwambia hizo taa zina kazi gani na nyingine nyingi.Unapoamua kuomba msaada hapa JF basi uwe umekwama mahali unahitaji msaada unaoeleweka.Halafu weka mafuta ya kuyosha tanki litatoboka kwa sababu ya kuweka robo tank.Weka full tank OVAYah linatembea vizuri tu.