BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Wakuu,
Niliagiza gari, ndio namiliki gari kwa mara ya kwanza hivyo vitu vingi bado ni mshamba hivyo nahitaji ushauri wetu mniongoze.
Wakati naagiza gari nilishaangalia makadirio ya kodi kwenye website ya TRA, pesa yao ya kodi ipo tayari pia kuna milioni moja ya dharura. Sasa nahitaji kujua yafuatayo;
1. Gari ninayoagiza ni ya kibiashara, nataka iwe taxi. Je, kuna kodi za biashara ntatakiwa kulipa kabla au nitakuja kulipa nikianza biashara?
2. Gharama za ku clear gari bandarini pamoja na kulipa kampuni ya clearing zipoje?
3. Kampuni ipi ya clearing ni wazuri kwenye kutoa mizigo yako bandarini, wanafanya haraka na kwa uaminifu? huwa nasikia sana habari za kuchomolewa radio au vitu vingine kwenye gari
Naombeni mnitoe ushamba wakuu, mshamba wakati wa kwenda 🙂
Niliagiza gari, ndio namiliki gari kwa mara ya kwanza hivyo vitu vingi bado ni mshamba hivyo nahitaji ushauri wetu mniongoze.
Wakati naagiza gari nilishaangalia makadirio ya kodi kwenye website ya TRA, pesa yao ya kodi ipo tayari pia kuna milioni moja ya dharura. Sasa nahitaji kujua yafuatayo;
1. Gari ninayoagiza ni ya kibiashara, nataka iwe taxi. Je, kuna kodi za biashara ntatakiwa kulipa kabla au nitakuja kulipa nikianza biashara?
2. Gharama za ku clear gari bandarini pamoja na kulipa kampuni ya clearing zipoje?
3. Kampuni ipi ya clearing ni wazuri kwenye kutoa mizigo yako bandarini, wanafanya haraka na kwa uaminifu? huwa nasikia sana habari za kuchomolewa radio au vitu vingine kwenye gari
Naombeni mnitoe ushamba wakuu, mshamba wakati wa kwenda 🙂