Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha ndo maana nimeshtuka kaka[emoji1] Itakuwa ni v8 sema hujaiangalia vizuri.
nuyu mshana ni hatari kwenye technolojia yupo vizuri ukija kwenye ufafanuzi wa tchnology za nguvu za giza napo hupo vizuri-akiunganisha technolojia zote 2 anaweza kufanya makubwaHii ni kali ya mwaka! Lazima kuna kitu hakipo sawa! Nasubir majibu ya mshana jr na Preta.
Duc in Altum
Engine ni 4AH930533Engen gani ipo humo
Ni 4AEngine yako ni 5e au 4e.?
Hiyo inakua full pamoja ni gear box? Vp ubora wake, huwa zinakua zimetumika bongo au Japan?Milion moja na laki tatu ilala shauri moyo unapata na hata pungufu ya hapo pia kutokana na uongeaji wako na utakaemkuta dukan maana pale wengi ni madalalal tu na ndo wanawaumiza wanunuzi ukimjua mwenye duka utapata chini na ukiwakuta madalal wankuanzia moja 5