Gari yangu spacio old model inakula litre 1kwa km 6

Gari yangu spacio old model inakula litre 1kwa km 6

Suzuki cc2000 inapaswa kula lita 1 kwa kms ngapi?

Na je kuweka ac on muda wote inaongeza matumizi ya mafuta?
 
nuyu mshana ni hatari kwenye technolojia yupo vizuri ukija kwenye ufafanuzi wa tchnology za nguvu za giza napo hupo vizuri-akiunganisha technolojia zote 2 anaweza kufanya makubwa
Ha ha ha huyu mshana jr anastahili kukamatwa na kupelekwa kwa nguvu paleTume ya sayansi na Tekinolojia asaidie kizazi hiki kwa Yale maujuzi yake katika kukamata mafisadi has a wale wanaojificha kwa kutumia nguvu za Giza.. Na atakapotwaliwa kwenda mbele ya haki idara ya makumbusho itafute jinsi ya kuweka kumbukumbu yake kwa vizazi vijavyo.
 
niliwekaga uzi mwaka 2013 wa kuhusu ist,yangu ilikua unakula 4km kwa litre 1,yaan ukiweka mafuta litre 7.xx wakat ule ukitoka ubungo ukaenda temeke davis kona ukirud ubungo taa ya mafuta inakuwakia bugurun, gari nilinunua 2012 cc 1490 4wd watu walitoa ushaur lakn hakuna hata mmoja alieweza kutibu tatzo,mara air sensor,mara vacuum sensor,mara kaipime engne kwenye computr na vngne ving nilifanya,gari iko pale pale,nikatangaza kuuza watu hawaitak nikapaki nikanunua ti 3rd hand saafi nikatesa,mwaka jana alikuja fundi akaigusa ki2 kidogo sana ile ist ikawa mpya, km 14 kwa litre yaan mafuta ya elfu kumi kwa sasa naenda kgambon kuptia kongowe tokea hapa ubungo maziwa na kurud taa ya mafuta haijawaka.Fundi nilipomuuliza akasema ni rubber za kwenye nozzel,plz kachek pia hzo rubber ukishndwa ni pm nikuunganishe na fundi.
Naomba unitumie namba ya fundi wako
 
niliwekaga uzi mwaka 2013 wa kuhusu ist,yangu ilikua unakula 4km kwa litre 1,yaan ukiweka mafuta litre 7.xx wakat ule ukitoka ubungo ukaenda temeke davis kona ukirud ubungo taa ya mafuta inakuwakia bugurun, gari nilinunua 2012 cc 1490 4wd watu walitoa ushaur lakn hakuna hata mmoja alieweza kutibu tatzo,mara air sensor,mara vacuum sensor,mara kaipime engne kwenye computr na vngne ving nilifanya,gari iko pale pale,nikatangaza kuuza watu hawaitak nikapaki nikanunua ti 3rd hand saafi nikatesa,mwaka jana alikuja fundi akaigusa ki2 kidogo sana ile ist ikawa mpya, km 14 kwa litre yaan mafuta ya elfu kumi kwa sasa naenda kgambon kuptia kongowe tokea hapa ubungo maziwa na kurud taa ya mafuta haijawaka.Fundi nilipomuuliza akasema ni rubber za kwenye nozzel,plz kachek pia hzo rubber ukishndwa ni pm nikuunganishe na fundi.

Muweke fundi hewani apige hela kuna watu wengi sana wana matatizo kama hayo.
 
IMG_20160329_160435.jpg
 
Fundi aliicheki akasema tatzo ni exost, kuwa hicho kifaa kwenye picha huwa kinakua na chekecho la udongo, so kwangu huo udongo haukuwepo, ikabd tutafute tukapata la corolla, tukaweka ila bado sijaona significant improvement, hivyo jumapili tumekubaliana tufanye test kuthibitisha ulaji wa mafuta kwa sasa
 
Spacio yangu inatumia litre 1 kwa km 12, sijui ni sawa?
 
Fundi aliicheki akasema tatzo ni exost, kuwa hicho kifaa kwenye picha huwa kinakua na chekecho la udongo, so kwangu huo udongo haukuwepo, ikabd tutafute tukapata la corolla, tukaweka ila bado sijaona significant improvement, hivyo jumapili tumekubaliana tufanye test kuthibitisha ulaji wa mafuta kwa sasa
Hiyo ni manfold, huo udongo kuna wakati unaziba. Sasa mafundi wetu wakiona hivyo wanauvunja na kuundoa. Sijui kama kuna njia nyingine ya kufanya.
 
Back
Top Bottom