Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Hahahah sawa mkuu Dac In AltumHii post yako ni kama una njaa, karibu nitakununulia kilo moja hapa River Side.
Duc In Altum.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah sawa mkuu Dac In AltumHii post yako ni kama una njaa, karibu nitakununulia kilo moja hapa River Side.
Duc In Altum.
Ha ha ha huyu mshana jr anastahili kukamatwa na kupelekwa kwa nguvu paleTume ya sayansi na Tekinolojia asaidie kizazi hiki kwa Yale maujuzi yake katika kukamata mafisadi has a wale wanaojificha kwa kutumia nguvu za Giza.. Na atakapotwaliwa kwenda mbele ya haki idara ya makumbusho itafute jinsi ya kuweka kumbukumbu yake kwa vizazi vijavyo.nuyu mshana ni hatari kwenye technolojia yupo vizuri ukija kwenye ufafanuzi wa tchnology za nguvu za giza napo hupo vizuri-akiunganisha technolojia zote 2 anaweza kufanya makubwa
hahaha duuuuh hiyoo n zaidi ya V8 mbna[emoji1] Itakuwa ni v8 sema hujaiangalia vizuri.
V8 inakulaje? Huu ni uongohahaha duuuuh hiyoo n zaidi ya V8 mbna
Seriously?[emoji1] Itakuwa ni v8 sema hujaiangalia vizuri.
Habari kaka, naomba unitumie namba ya fundi wako aliemaliza tatzo la kula mafutaMkuu ni pm namba ya fundi, nina shida na rav 4... Ila kama upo Dar
Naomba unitumie namba ya fundi wakoniliwekaga uzi mwaka 2013 wa kuhusu ist,yangu ilikua unakula 4km kwa litre 1,yaan ukiweka mafuta litre 7.xx wakat ule ukitoka ubungo ukaenda temeke davis kona ukirud ubungo taa ya mafuta inakuwakia bugurun, gari nilinunua 2012 cc 1490 4wd watu walitoa ushaur lakn hakuna hata mmoja alieweza kutibu tatzo,mara air sensor,mara vacuum sensor,mara kaipime engne kwenye computr na vngne ving nilifanya,gari iko pale pale,nikatangaza kuuza watu hawaitak nikapaki nikanunua ti 3rd hand saafi nikatesa,mwaka jana alikuja fundi akaigusa ki2 kidogo sana ile ist ikawa mpya, km 14 kwa litre yaan mafuta ya elfu kumi kwa sasa naenda kgambon kuptia kongowe tokea hapa ubungo maziwa na kurud taa ya mafuta haijawaka.Fundi nilipomuuliza akasema ni rubber za kwenye nozzel,plz kachek pia hzo rubber ukishndwa ni pm nikuunganishe na fundi.
Inazo bosi...zipo karibu na main fold kwenye usawa wa cyrinder head.Engjne ya petrol haina nozzle bali plugs.
pale kwenye piston mi najua nozzles ndo zinamwaga mafuta,then plugs znaunguza,mi sio mtaalam sana nielekeze bro
niliwekaga uzi mwaka 2013 wa kuhusu ist,yangu ilikua unakula 4km kwa litre 1,yaan ukiweka mafuta litre 7.xx wakat ule ukitoka ubungo ukaenda temeke davis kona ukirud ubungo taa ya mafuta inakuwakia bugurun, gari nilinunua 2012 cc 1490 4wd watu walitoa ushaur lakn hakuna hata mmoja alieweza kutibu tatzo,mara air sensor,mara vacuum sensor,mara kaipime engne kwenye computr na vngne ving nilifanya,gari iko pale pale,nikatangaza kuuza watu hawaitak nikapaki nikanunua ti 3rd hand saafi nikatesa,mwaka jana alikuja fundi akaigusa ki2 kidogo sana ile ist ikawa mpya, km 14 kwa litre yaan mafuta ya elfu kumi kwa sasa naenda kgambon kuptia kongowe tokea hapa ubungo maziwa na kurud taa ya mafuta haijawaka.Fundi nilipomuuliza akasema ni rubber za kwenye nozzel,plz kachek pia hzo rubber ukishndwa ni pm nikuunganishe na fundi.
Tunaomba tupate mrejesho...hii Spacio imepata tiba na shida ilikuwa ni nini?Muweke fundi hewani apige hela kuna watu wengi sana wana matatizo kama hayo.
Iko sawa
Spacio yangu inatumia litre 1 kwa km 12, sijui ni sawa?
Hiyo ni manfold, huo udongo kuna wakati unaziba. Sasa mafundi wetu wakiona hivyo wanauvunja na kuundoa. Sijui kama kuna njia nyingine ya kufanya.Fundi aliicheki akasema tatzo ni exost, kuwa hicho kifaa kwenye picha huwa kinakua na chekecho la udongo, so kwangu huo udongo haukuwepo, ikabd tutafute tukapata la corolla, tukaweka ila bado sijaona significant improvement, hivyo jumapili tumekubaliana tufanye test kuthibitisha ulaji wa mafuta kwa sasa
Seriously?go a vitz with diesel engine km 25 kwa litre