Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,888
- 3,352
Gari kama kifusi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari kama kifusi...
Saloon ni body type au kwa jina lingine sedanHahaha eti magari ya saluni,
Mimi sitaki gari ya kunifilisi ,nataka gari ambalo mafuta yanatumika kidogo
Cc900 Na CC 1790 maanake ni niniSaloon ni body type au kwa jina lingine sedan
Na hizo gari zinarange kuanzia cc900 hadi cc 1790. Hivyo ukinunua kutoka Japan moja kwa moja na sio kwa mtu utatumia gharama ndogo kwa ajili ya maintenance.
Hizo ni cubic capacity ya engine na inaamua ulaji wa mafuta na nguvu ya gari.Cc900 Na CC 1790 maanake ni nini
OkeyHizo ni cubic capacity ya engine na inaamua ulaji wa mafuta na nguvu ya gari.
Kwa mfano Toyota passo ina cc 990 hivyo haitumii mafuta mengi ila pia haina nguvu ya kutosha. Gari za Suzuki (carry, swift, jimmy) pia zina cc chini ya hapo.
Ninakuamini honeyNoted mama. Ngoja niwahi SBT ku do the needful
Kwanini Vitz ya zamani na sio ya kisasa?Kwa fuel efficiency chukua, vitz(ya zamani), passo, ukihitaji space ndani tafuta corolla spacio, sienta/sienta dice, raum au corolla runx.
NB: mimi sio mpenzi wa magari ya saloon(ie. carina brevis, crown, altezza na kadhalika) .
Pesa yako ni mbuzi kwa aina hizo za magari. Endelea kujichanga zaidi ufikishe M 12 uagize Suzuki Jimny!Grand Vitara is my dream car or Jimmy Choo Asprin
Gari ka mkate
Kitimoto[emoji23][emoji23]Hizi ndo zisipendi kabisa Kama kitimoto hapana hapana
M.10 inatosha???Lady of Destiny, go for Toyota CAMI or Daihatsu Terios kids.
*Economy Fuel consumption
*Good Engine Efficiency
View attachment 1163443
Nimeielewa Ila Bei vipiLady of Destiny, go for Toyota CAMI or Daihatsu Terios kids.
*Economy Fuel consumption
*Good Engine Efficiency
View attachment 1163443