General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Bei gani kwenye showroom? Yenye Hali nzuri
Unamaanisha ile bajaji yangu?
Hahahhaaha acha matusi binti, eti kitimoto. HahahahahaHizi ndo zisipendi kabisa Kama kitimoto hapana hapana
Mmh kama na hii hujui tafuta ndg yako unaemwamini hata babayako muombe akutafutie IST nzuri ya CC 1290 hutojutia. La sivyo utapigwa na matapeli, umeskia ile stori ya yule mzee mstaafu morogoro?? HahahCc900 Na CC 1790 maanake ni nini
Amesema ina fanana na kiti moto hataki!njoo pm nkuuzie noah mpya
Bofulo?Gari ka mkate
Hii ndiyo aliyotekwa nayo Mo itamletea matatizo
Hii inayofanana na kiti moto ni Toyota Noah, hata toyota porte kwa mbaaliMuundo sijui (Mimi ni mshamba jamani[emoji1751][emoji1751] najuaga tu gari moja IST coz rafiki yangu kazini analo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na cruzer ya Mzee [emoji1732]
Ila sipendi gari flan zinafanana na kiti Moto kimuundo
Zingine zote napenda
Yeye si ameshasema hataki hizo zenye muundo wa kiti moto...?njoo pm nkuuzie noah mpya
Itakuwa Funcargo hio bila shaka ama Rumion.
Kwa ujumla Toyota na Nissan kwa upande wa body designing bado wanajifunza....magari yao hayana muoneka wa kibabe....body zao nyingi zimekaa kimayai mayai sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio designer wao sijui walikuwa wanalewa kwanza ndio wachore miundo ya magari maana magari madogo mengi ya 2003-2007 yamekaa kama vikatuni. 2011-2015 wakahamia kwenye makubwa na kuyavurunda haswa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Hebu angalia hii gari,
View attachment 1163987
YesNi BMW x1 au?
Nipo makao makuu ya nchi mkuu