Gari za kidada

Gari za kidada

Lady of Destiny1

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2019
Posts
588
Reaction score
851
Habari za humu ndugu zangu

Baada ya kujikusanya kwa miaka kadhaa hatimaye na Mimi nitaanza kutembea nimekaa Kama wengine

Nimefikisha million kumi net

Nataka ninunue gari ,Ila Sina kabisa idea ya mambo ya kuzingatia, ninunue wapi? (Kwa mtu au show room), aina gani,na mambo mengine,nauliza wenye magari kila mtu ananiambia lake sijui nifate ushauri wa Nani

Kikubwa iwe inatumia mafuta kidogo

Karibuni kwa ushauri
 
Ya mafuta kidogo mbona yapo mengi sana mkuu!ila hayana ladha unapoyaendesha,gari unaikamua haitaki kwenda,nguvu ndogo,labda kama unataka cha kuzungukia nacho kwenye foleni za mji kama Dar,lakini kwa safari ndefu hizo ni shida tu......
 
Habari za humu ndugu zangu

Baada ya kujikusanya kwa miaka kadhaa hatimaye na Mimi nitaanza kutembea nimekaa Kama wengine

Nimefikisha million kumi net

Nataka ninunue gari ,Ila Sina kabisa idea ya mambo ya kuzingatia, ninunue wapi? (Kwa mtu au show room), aina gani,na mambo mengine,nauliza wenye magari kila mtu ananiambia lake sijui nifate ushauri wa Nani

Kikubwa iwe inatumia mafuta kidogo

Karibuni kwa ushauri
I'm riding my 1968 tired beat up Volkswagen beetle like a gorilla boss!

Fvck everybody else.....y'all gotta relax!
 
Ya mafuta kidogo mbona yapo mengi sana mkuu!ila hayana ladha unapoyaendesha,gari unaikamua haitaki kwenda,nguvu ndogo,labda kama unataka cha kuzungukia nacho kwenye foleni za mji kama Dar,lakini kwa safari ndefu hizo ni shida tu......
Kwendea kazini na mishe zingine town, Ila siku nilitaka Kwenda home kilometer 500 hivi niweze pia Kwenda nalo
 
Kwa fuel efficiency chukua, vitz(ya zamani), passo, ukihitaji space ndani tafuta corolla spacio, sienta/sienta dice, raum au corolla runx.
NB: mimi sio mpenzi wa magari ya saloon(ie. carina brevis, crown, altezza na kadhalika) .
Hahaha eti magari ya saluni,

Mimi sitaki gari ya kunifilisi ,nataka gari ambalo mafuta yanatumika kidogo
 
Aina gani sijaiona
hii hapa
qc.JPG
 
Back
Top Bottom