Hata vituo vya mafuta vipo vingi..Naungana na mdau apo juu hii Ni kutokana na wingi wa Magari ya Toyota. Ukijumlisha watu wote wa Toyota wanaotumia kadi za Mafuta za Total, Oryx na Puma. Ambao huwa wanajaziwa na waajiri wao ni wengi kuliko idadi ya magari yote ya kijerumani na marekani combined..hapo hujaweka, hiace na Coaster ambazo zote ni Toyota na Daladala pendwa. Mimi Toyota yangu ilinizimikia mara moja tu ambayo ni siku natoka yard naapo tukaipiga kofi mpaka sheli nikaweka Full tank.
Nafikiri ni mtu na mtu pia inategemea gari gani ya Toyota. Kuna Toyota pia mbali ya gauge kwenye dash inakuonesha mafuta yako yataneda umbali gani. Inakwenda hadi inakuonesha 0km na unaweza kusogea hata 10km zaidi. Kwa gari kama hii kukuzimikia ni uzembe wako.Kwa miaka yangu mingi barabarani.. Gari zinazoongoza kuishiwa na mafuta njiani ni Toyota hasa hasa hizi wanasema zinanusa tuu mafuta.. Yaani mafuta yanaisha yote mpaka tank inanukia kutu.. Pump inashindwa kunusa inakata.. Gari inanusa tuu mafuta ila bado dereva anatembea na kidumu..taa ya low fuel inawaka badala ya kuongeza dereva anasema nalijua gari langu..!
Tofauti kabisa na gari za Kijerumani kuzikuta njiani zimeishiwa mafuta.. Ukiikuta imewasha hazard changamoto ni sensor ila sio mafuta.. Ukikuta kidumu kwenye gari ya Kijerumani ni cha kubebea wine na sio mafuta..!
Changamoto ni dashboards za Toyota kutoonyesha gauge ya mafuta au shallow pockets za Madereva wa Toyota wanaoziponda Germany cars...!!?
Inakimbia wapi ww. Jaza toyota yako mafutaTuhamie kwenye gesi au umeme, dunia inakimbia
Mjerumani sio garage queen.. Inaingia mapori yote.. Ni chuma ya kazi.. Lesotho mpaka Tanzania bila kuishiwa mafuta.. Ist Bonyokwa to Makumbusho unabeba kidumu..!Itazimika saa ngapi wakati unaenda nayo kanisani/msikitini tu au baa ya jirani wakati mwenye ist yake anazunguka nayo kila sehemu.
Hii unayotumia naona ni sawa na Toyota tu boss, sidhani kama ina gharama.Mjerumani sio garage queen.. Inaingia mapori yote.. Ni chuma ya kazi.. Lesotho mpaka Tanzania bila kuishiwa mafuta.. Ist Bonyokwa to Makumbusho unabeba kidumu..!
Usirudie tena kufananisha..! Unaweza kuwa banned JF..!Hii unayotumia naona ni sawa na Toyota tu boss, sidhani kama ina gharama.
Kwa Tanganyika,
1. Gari ya pori ni Toyota LC, mfano Lx na baadhi ya LC models.
2. Gari flexible na friendly kwa mizunguko na fujo za mjini ni Toyota ist na zinazofanana nazo mfano raum, ractis etc.
3. Prestige,speed na luxury ya ziada ndo unaweza itafuta huko kwa mjerumani vitu ambavyo si kipaumbele kwa wote.
Kutumia mjerumani Pori ni tabu tu, na kuitumia kwenye fujo za mjini napo tabu, zile gari za starehe na watu wa maofisini.
Ok mkuu, sifananishi.Usirudie tena kufananisha..! Unaweza kuwa banned JF..!
Upo sahihi kama unaishi mjini.. Ila IST nyingi zinakuja na kuondoka mjini.. Zinalala na kuamka nje ya mji..
Utafanya fujo gani mjini na IST!?
Labda kupita kwenye taa nyekundu..!
Hapo IST sababu ya size.. Hata Wajerumani wana size hizo ndogo ndogo..!Ok mkuu, sifananishi.
Fujo nazomaanisha sio kuvunja sheria, bali kurupushani za mihangaiko, foleni mara watu, maguta, mara boda kagusa mirrors n.k
Gharama. Mjerumani gari kama vw passat utaipata bei chini ya ist ila utanunua spea kwa bei ya juu.Hapo IST sababu ya size.. Hata Wajerumani wana size hizo ndogo ndogo..!
Nahisi hata bodaboda na madereva kuna baadhi ya gari wanaogopa kuzigusa..Wajerumani..!
Unaweza kusema gari za mjerumani hazitoi lift kama za Toyota sababu watu wengi wamepewa lift na gari za Toyota kuliko mjerumani?Nimekupata..!
Vipi kwenye kuishiwa mafuta..!!?
Umeingiza siasa kwenye mambo ya msingi..!Unaweza kusema gari za mjerumani hazitoi lift kama za Toyota sababu watu wengi wamepewa lift na gari za Toyota kuliko mjerumani?
Wingi wa aina fulani ya gari kuishiwa mafuta njiani sio suala la ubora wa gari, ni suala la idadi ya aina hiyo ya magari kwenye hiyo jamii inayopelekea liwe na aina mbalimbali za madereva wakiwemo wabahili, masikini, waazimaji, watoa lift n.k
Kwa tafsiri nyingine Toyota ni gari za masikini. Hili ndilo unalotaka kusikia.Umeingiza siasa kwenye mambo ya msingi..!
Lift nyingi kwa Toyota ni tahadhari incase mafuta yameisha unawatu wa kusukuma na kuwatuma petrol station..!
Ukiikuta imewasha hazard changamoto ni sensor ila sio mafuta