Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa

Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa

Inashangaza sana, ukienda kenya na zambia unakutana na European cars nyingi mno na wala hawana story hizi tunazopeana kuhusu magari haya.
Linapokupja swala la magari wakenya , wapo slow sana ,
Wakati sisi tunatumia marcopolo miaka ya 2000 wao bado walikuwa wanatumia nissan diesel na isuzu , leo hii ukienda nairobi kisumu au mombasa, fleets ni scania
Walikuwa wanatumia sana nissan kwenye shuttle , leo hii ni toyota hiace kd na rz series ndo ,zinadominate sacos shuttle
Gari zinazodqfirisha miraa kenya ni fleets za Toyota Hilux tu miraa ni moja ya kazi ngumu sana kwa kenya na gari inatakiwa iwe ya uhakika kweli kweli , miraa ni perrishable na huwa inasafiri umbali wa hadi km 800 kutoka shamba hadi sokoni
Toyota ndo inazidi kupamba moto Kenya.
 
I think mzungu akitengeneza gari yenye less technology kama mjapani mtazipenda zaidi zake.
Wazungu wana technology nyingi sana za magari , shida kuu ninayoiona kwao ni kuwa wanajaribu sana kila spare watengeneze wenyewe, , mjapani ana funga spare kutokana na reputation ya kampuni husika , na huwa wanafanya selection ya uhakika wanaposource kampuni ya ku supply,
Mfano mitsubishi ,toyota wakati fulani huww wanatumia injector pump kutoka kwa suplier mmoja
 
Mjapani ame develop kiteknolojia sana sema yeye huwa anatulia hakurupuki bila kufanya numerous tests kuhakikisha kwamba ameondosha malfunctions and errors katika mfumo by 99% hio 1% inabaki kwenye factory defects!

Mzungu yeye anakurupukia fancy technological stuffs and gizmos bila kufanya testing yani! Matokeo yake zinaanza malfunctions zikiwa ziashamfikia mteja! Anapambana awe wa kwanza tu ila electronics zinafail vibaya na kumtia hasara mteja
Ila twende mbele turudi nyuma, gari za siku hizi technology imepelekea zisiwe na reliability kama ya gari za zamani regardless japanese au European.

Kuna mjapani mmoja aliniletea Prado ya 2006 imeua mota flani hivi ambayo inasaidia katika kuingiza hewa kwenye engine. Hizo gari zimekuja na mfumo unaitwa secondary air injection.

Sasa tulivokuta hiyo mota imekufa tulivyokuja kumtajia yule mjapani bei ya hiyo mota, ghafla sura ikabadilika.

Simply mtumba ni 700k na ukiagiza ni zaidi ya milioni.
 
Mjapani ame develop kiteknolojia sana sema yeye huwa anatulia hakurupuki bila kufanya numerous tests kuhakikisha kwamba ameondosha malfunctions and errors katika mfumo by 99% hio 1% inabaki kwenye factory defects!

Mzungu yeye anakurupukia fancy technological stuffs and gizmos bila kufanya testing yani! Matokeo yake zinaanza malfunctions zikiwa ziashamfikia mteja! Anapambana awe wa kwanza tu ila electronics zinafail vibaya na kumtia hasara mteja
Hii chuma unadhani ina magonjwa magonjwa kama Kama S class ya sasa?
images%20(25).jpg
 
Wazungu wana technology nyingi sana za magari , shida kuu ninayoiona kwao ni kuwa wanajaribu sana kila spare watengeneze wenyewe, , mjapani ana funga spare kutokana na reputation ya kampuni husika , na huwa wanafanya selection ya uhakika wanaposource kampuni ya ku supply,
Mfano mitsubishi ,toyota wakati fulani huww wanatumia injector pump kutoka kwa suplier mmoja
Ingawa hata kwa mzungu bado unaweza ukakuta spare nyingi sana ambazo hajatengeneza yeye.

Kwa mfano Gari za Land Rover zinakuwa na spare parts nyingi sana za kampuni kama Bosch au Siemens.
 
Kama unanunua hizi gari za ulaya na unakuwa mjanja mjanja kwenye service na maintenance zingine basi huwezi kufika mbali kabla hujaanza kuzibatiza majina ajabu ajabu, mara pepo, mara jini, n.k.

Kama una mentality ya kuendesha tu na hukumbuki service basi hizi gari hazikufai. Mtamlaumu tu mtu alikushauri kununua lakini uzembe utakuwa ni kwa kwako.

Hizi screen shot nimeambatanisha hapa chini ni Audi A4 2.0 ya mwaka 2003. Gari inang'aa na ni namba DNU. Aiseee tulipokuja kupima na mashine tuliyokutana nayo tukaona tumechoka.

Hebu cheki

Kwanza ukianzia tu hapa [emoji1484] System 7 kwenye gari haziko sawa. Engine ikiwa inaongoza ikiwa na DTC 15.


View attachment 1901857


Tuache hiyo mifumo mingine tuishie tu kwenye engine.

Hebu ona...

View attachment 1901858

View attachment 1901859

View attachment 1901860

View attachment 1901861

View attachment 1901862

Hivi unaendeshaje gari yenye mazingira kama hayo?

Straight forward, Engine coolant temp. sensor na intake air temperature sensor zishajifia na kwenye live data inasoma -54 C. Ukiacha hizo faults zingine, hizi sensor mbili tu zinamla mafuta hana hamu na hiyo gari.

Hiyo Camshaft position sensor ishajifia na gari inamsumbua kuwaka, na yeye bila kujua angeenda kuingia hasara kwa maana alikuwa anawaza akanunue battery nyingine.

Honestly speaking, Ni rahisi kurekebisha gari ya Ulaya/Marekani. Kuliko gari za Japan/Asia kwa sababu kuu tatu,

1. Gari za Ulaya/Marekani zipo sensitive sana kwenye kutrigger code(DTC's) linapotokea tatizo. Hivyo inakuwa ni rahisi kuona tatizo ukipima.

2. Ni rahisi mno kupata repair manual ya gari ya Ulaya/Marekani kuliko kupata Manuals za gari za Japan/Asia (Except kwa gari za Japan/Asia zinazouzwa soko la Ulaya/Marekani). Ukiwa na vifaa plus hizo manual kazi inarahisishwa sana.

3. Kuna muingiliano mkubwa sana wa mifumo baina ya gari za Ulaya/Marekani. Kwa mifano,

(a) ZF transmission zinatumiwa makampuni mengi sana ya magari kuanzia BMW, Audi, Landrover, Jeep n.k.

(b) Siyo Ajabu ukakutana na Jeep ina gearbox ya mercedes.

(c) Siyo ajabu ukakutana na Landrover ina engine ya BMW/Jaguar.

Haya yote yanarahisisha sana utatuzi wa matatizo wa magari ya Ulaya/Marekani.

Alamsiki.
Napenda thread za magari
 
Unaponunua gari akilini mwako unatakiwa uwaze maintanance au kuendesha?

Unanunua gari ili uendeshe sio uhangaike na mafundi mkuu! Gari ikiwa problematic hata kama ina usukani na matairi ya Gold haifai na inakera. Maisha yetu watanzania wengi ni ya kipato cha chini. Handling ya hizo gari kwa wepesi ni kwa watu wenye financial muscles wa kipato cha kati na kile cha juu!

Gari ya mzungu ina gharama za juu halafu inataka preventive maintainance yani ikikorofisha kidogo tu ni pesa ndefu! So upambane na codes tu
Tudeal na toyota tu
 
Hatuna mazoea nazo japo wengi sahizi wananunua ma BMW na ma Benz ila still ni kichefu chefu kama hela huna haya ndio matokeo

View attachment 1905675Kwa hii bei ukiipiga diagnosis hii gari lazma ukute kuna vifaa vya bei mbaya ni vibovu[emoji28] jamaa anataka amtupie ndezi msala!
Litaumia jitu hapo soon [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom