GAS Mtwara vs Bandari Tanzania

Makuwadi wa soko huria kazini.
 
Upo sawa mkuu, ila inatubidi tuelewe kwa kina nature ya mkataba tusiwe wavivu.
 
Mama asonge mbele asitishwe na yeyote.. Kwenye suala la maendeleo kuna watu watakukatisha tamaa ila songa.. Baadae hao hao watakusifia.. Ngoja bwawa la umeme lianze kutoa umeme utasikia wanashangaa

Kweli
 
last paragraph author anasema

sasa mwandishi mwenyewe wa West Africa, utaamua mwenyewe unachagua habari ya West Africa au The Citizen ya hapa hapa Bongo.
2018 umeitaja, iko wapi hapo?

Aidan Barlow ni wa West Africa?
 
2018 umeitaja, iko wapi hapo?

Aidan Barlow ni wa West Africa?
2018 nimeipata ndani ya hiyo article, kwa research aliyoifanya 2018, namna Mtwara ilivyodorora tofauti na matarajio ya wana Mtwara wenyewe.

The anticipation​

In Mtwara in 2018, I interviewed a variety of people, ranging from local business leaders, politicians and community leaders to villagers and people who used to work in the supply sector to the gas industry, about how development had been influenced by the gas sector.
 
Kwa hiyo ndiyo aliishia hapo? Umeona tarehe makala ilipochapishwa?

Na unasemaje huyu ni mtu wa West Africa?
 
Kwa hiyo ndiyo aliishia hapo? Umeona tarehe makala ilipochapishwa?

Na unasemaje huyu ni mtu wa West Africa?
Article imekaa kitapeli ki West Africa, ushaona wapi mwandishi ana article moja tu ndio hiyo hiyo, achana na reference za vichochoroni.
 
Ana article ngapi kwenye huo mtandao?

Hata akiwa na moja tu, that is logical non sequitur.

Yani kujamba ujambe wewe, lawama unipe mimi?

Umesema article ya West Africa, nimekuuliza ushahidi, umethibitisha kwamba umezusha tu.

I rest my case.
 
Uongo mtupu..

 
Nilichokuja kugunduaa mikataba asilima 95 inakuwaga ni ya ovyooo sanaa sema ni vilee tu huwa haivujiii...!! no wonder umeme wa gas imebaki kuwa maneno matupuuu na siasaa... gas ukute inasafirii kwenda nje daily.
 
Nilichokuja kugunduaa mikataba asilima 95 inakuwaga ni ya ovyooo sanaa sema ni vilee tu huwa haivujiii...!! no wonder umeme wa gas imebaki kuwa maneno matupuuu na siasaa... gas ukute inasafirii kwenda nje daily.
Mfanyabiashara yoyote anapotaka wekeza kwako lazima aweke vipengele vitavyomlinda kwa investment anayofanya. Hata wewe leo ukiona kiwanja Masaki/Mikocheni ukataka fanya investment, lazima utaweka masharti yatayombana mmiliki ili siku asije kengeuka akasema toa maghorofa yako niachie kiwanja changu. Sasa mmbongo akiwekewa masharti anasema unyonywaji.
 
yapo masharti kweli lakini sio ya kusema umiliki bandari mileleee...!! kuna masharti inabdi uyapimee lasivyoo leo sisi tusingekuwa wamiliki wa hii ardhi maana kila sehemu pangemilikishwa kitamaaa.
 
yapo masharti kweli lakini sio ya kusema umiliki bandari mileleee...!! kuna masharti inabdi uyapimee lasivyoo leo sisi tusingekuwa wamiliki wa hii ardhi maana kila sehemu pangemilikishwa kitamaaa.
hapo ndio kuna upotoshwaji wenyewe hulipo, hakuna kipande cha bandari kilichouzwa, bandari imekodishwa kama ilivyokodishwa sasa kwa TICTS.
 
Mama asonge mbele asitishwe na yeyote.. Kwenye suala la maendeleo **** watu watakukatisha tamaa ila songa.. Baadae hao hao watakusifia.. Ngoja bwawa la umeme lianze kutoa umeme utasikia wanashangaa
Hujaona ripoti ya Tanesco jana kuwa bwawa likianza kufanya kazi bei ya umeme itaongezeka per unit?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…