Gati la Marekani Gaza labebwa na upepo mkali.Dola Milioni 32 zimepotea bure.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Gati linaloelea majini lililojengwa Gaza na Marekani kupitishia misaada kabla kufanya kazi yake limeshakumbwa na matatizo mara kadhaa na mwishowe limebomoka kutokana na upepo mkali.
Habari zinazoendelea kutolewa ni kuwa dude lote limeanza kuzama na haitokuwa rahisi kuliokoa.
Muda mfupi kabla kukamilika wajenzi ilibidi wahamie Haifa ndani ya Israel ili kuendelea kuunganisha vifaa vyake baada ya kukumbwa na hali mbaya ya hewa.
Ujenzi wa bandari hiyo tangu hapo awali haukuwa na umuhimu wakati malori yalikuwa yamejazana mpaka wa Rafah yakisubiri kuingia Gaza kwa njia ya kawaida ya ardhini.


US-built pier for Gaza humanitarian aid to be removed from coast for repairs

 
Marekani wawe makini. Ni onyo kali kutoka kwa Mungu wa kweli waache kuwasaidia magaidi.
 
Marekani wawe makini. Ni onyo kali kutoka kwa Mungu wa kweli waacha kumsaidia magaidi.
Kwa ninavyokujua maneno yako ni kama kuwakejeli wapalestina.
Pamoja na hayo unayosema si uongo.Marekani kutaka kuisaidia Israel kumefichuliwa na Mungu wa kweli ....Allah
 
Kwa ninavyokujua maneno yako ni kama kuwakejeli wapalestina.
Pamoja na hayo unayosema si uongo.Marekani kutaka kuisaidia Israel kumefichuliwa na Mungu wa kweli ....Allah
Allah the imaginary arab skygod who knows only Arabic?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…