Gautam Adani na kashfa ya rushwa Marekani: Je, ni nini hatma ya TANESCO na PPP ya David Kafulila, tenda apewe au atoswe?

Usipotoshe.
Kinacho pingwa ni ufisadi. Miradi inayo ingiwa gizani kwa kuficha kila kitu ili madudu yasionekane.
Wewe mwenyewe humu ulisha sema na kumhimiza Samia kila kitu afanye gizani, watu wasijue kinacho endelea!

Sasa mnageuza stori na kulalamikia watu na makundi yanayo pigania maslahi ya wananchi.

Sasa wewe tueleze, ni waTanzania wangapi wanajuwa kwamba gesi ya Mtwara (Ntor) Samia alikwisha wagawia Omani; ni waTanzania wangapi wanajuwa Adani huyo huyo alisha pewa mradi wa kuzalisha umeme wa makaa ya mawe. Huko bandarini, nani anaye juwa ni makubaliano gani huyo Adani aliingia nayo na serikali yetu.
Kila kitu mnafanya gizani, halafu mnawaona waTanzania kama majuha!
 
Ukiamua kusikiliza umbea na kuuamini hilo ni tatizo lako binafsi. Haswa ukiwa unaongozwa na chuki kwa SSH. Hakuna wa kukuzuia kuziamini stori za kwenye viti virefu vya Bar.
 
Pigisha kura mkuu
 
Kuna mpiga debe mmoja maarufu atasema Marekani wana wivu naye
 
Ukiamua kusikiliza umbea na kuuamini hilo ni tatizo lako binafsi. Haswa ukiwa unaongozwa na chuki kwa SSH. Hakuna wa kukuzuia kuziamini stori za kwenye viti virefu vya Bar.
Nilisha kueleza mara nyingi tu humu. Kama hiyo unayo ieleza kuwa ni "kuongozwa na chuki" ni kuhusu kuchukia yanayo fanyiwa taifa letu, usihangaike kabisa juu ya hilo. Nina chuki kubwa sana juu yake.

Tueleze "umbea" ni upi katika maswala yanayo fanywa na Samia. Hiyo miradi niliyo orodhesha hapo haipo? Umbea uko wapi?
Na elewa, kiongozi anapo ruhusu kufanya siri katika maswala ya wananchi wake, huyo ndiye "mmbea" mwenyewe. Samia ni kiongozi fisadi, asiye kuwa na aibu kabisa wala kujutia hali hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…