Gautam Adani na kashfa ya rushwa Marekani: Je, ni nini hatma ya TANESCO na PPP ya David Kafulila, tenda apewe au atoswe?

Gautam Adani na kashfa ya rushwa Marekani: Je, ni nini hatma ya TANESCO na PPP ya David Kafulila, tenda apewe au atoswe?

Mwambieni tumbili kafulila arudishe hela ya huyu tapeli

Sasa tofauti ya kafulila na akina judge werema aliowatuhume kwenye skandali ya escrow iko wapi?
 

===
Billionaire wa Kihindi na tajiri namba mbili barani Asia Mr Gautam Adani anayetajwa pia kuwa ni miongoni mwamatajiri kumi ( 10 ) duniani anakabiliwa na tuhuma za kuahidi kutoa rushwa ya kiasi cha US$ 250M zaidi ya TZS 650bn ili apate kazi na Mikopo toka kwa mabanki na Wawekezaji wenzake kibiashara.

Billionaire Gautam Adani anatajwa kumiliki ukwasi wa zaidi ya US$ 85.5bn zaidi ya TZS 222.3trilioni ambazo ni zaidi ya Uchumi wote wa nchi ya TANZANIA wenye wasi wasi nae kuhusu uwezo wa Kiuchumi naomba waondoe hofu.

Mtakumbuka billionaire huyu hivi karibuni alionesha nia ya kuwekeza nchini Marekani kiasi cha US$ 10bn zaidi ya TZS 26 Trilioni kwenye sekta ya nishati akiahidi kutoa ajira za moja kwa moja kwa wamarekani zaidi ya 15,000 akitaraji kupata faida ya karibu US$2bn zaidi ya TZS 5.2trlioni ndani ya miaka 20 ijayo.

Billionaire huyo kwa kupita kampuni yake Adan Green Energy Ltd pamoja na kampuni ya Gridworks Development Partners LLP toka Uingereza kwa nyakati tofauti tofauti wameonesha nia ya kutaka kuwekeza kwenye mradi wa kusafirisha na kusambaza Umeme kwa gharama ya zaidi ya TZS 3.3Trilioni ikiwa ni baada ya Tanzania kuwa na Umeme wa ziada wa zaidi ya 600MW hii ni baada ya bwawa la Mwl Nyerere (JNHPP) kukamilika na kuanza kufua umeme wa zaidi ya 2,100MW na kuziba nakisi ya umeme iliyokuwepo kwa miongo mingi na hivyo kuilazimu Tanzania kuuza umeme nje ya nchi.
Kufuatia kashfa hii ya kibiasha ya makampuni ya billionaire Gautam Adani na yanayoendelea katika Mitandao ya Kijamii hasa jukwaa hili na vyombo mablimbali vya habari vya ndani na nje ya Tanzania hasa kwa kuishambulia Serikali ya TANZANIA na watendaji wake,

Haya ni maoni yangu,

1. Tuhuma hizi kwa Serikali ya Tanzania ni ama zimewahi ama hazina msingi wowote kwakuwa billionaire Gautam Adani hana mkataba wowote na Serikali ya Tanzania japo ameonesha nia ya kuwekeza kwa kutumia Sheria , kanuni na taratibu za PPPC.

2. Hata hivyo kinachomsibu Gautam Adani Kwa sasa ni tuhuma tu tena za Upande mmoja na kwa kuzingatia dunia hii ya mnyukano wa vita za Kiuchumi tusiende mbio kwenye lawama badala yake tujiuluze kwanini Marekani yenyewe imruhusu billionaire Gautam Adani awekeze kiasi Cha US$ 10bn na hivyo kutoa ajira zaidi ya 15,000 kwa wamarekani?

3. Hata hivyo, hakuna mahali Serikali ya Tanzania wala Mkurugenzi wa PPP Bw David Kafulila wamemtetea billionaire Gautam Adani au mwekezaji mwingine yeyote.

4. Kwa msiofahamu kazi mojawapo ya PPPC ni kuueleza umma wa Tanzania ( Public ) kuhusu uwekezaji na wawekezaji wenye nia ya kuwekeza kwenye PPP kwa kuzingatia zaidi masilahi mapana ya Taifa la Tanzania.

5. Lazima tufahamu kwanini PPPC anafanya hivi, lengo na nia ni kuufanya Umma ( Public) uelewe kila kitu tangu mwanzo kabisa wa mradi hasa kwenye hatua ya mwekezaji kuonesha nia badala ya Umma kuja kuletewa mkataba ulosainiwa bila kujua mchakato wa uwekezaji huo ulianza lini na kwa namna gani na masilahi kwa Taifa ni yepi hivyo kupoteza maana ya neno Public-Private

Tukumbuke Transparency ndio nguzo kuu katika ndoa yoyote ile ya PPP na faida yake ni hii Leo Watanzania wanamjadili Adani nje ndani ni kwa sababu wameshirikishwa mapema na kwa uwazi kabisa juu ya nia yake hiyo.

Pia soma Bilionea Gautam Adani ambaye Kafulila anataka kumpa shirika la TANESCO ashitakiwa kwa utapeli huko Marekani



#SAMIAMITANOTENA
Ndo huyu alikuwa anapigiwa chapuo na kafulila????
 
Kumbe ndo huyu tapeli amechukua Gati kule bandarini

Mama Abdul anajitafutia anguko kuu kupitia hii bandari
 
Viongozi wa TZ wanapenda Rushwa sana ,huyo Adani atakumbatiwa hadi Mwisho ,hakuna wa kumpinga ,watu washavuta mpunga wamejenga Mansions MBWENI JKT unafikiri watarudisha?
 
Tatizo haya tunayoyaandika hayafanani kabisa na ufanisi wa mashirika yetu yanayobinafsishwa. Tufanye uzembe na nchi yetu iwe unaumia kiuchumi halafu wanasiasa wakileta mashirika makubwa yenye uwezo tuanze kuyapiga vita kwa wivu wa hicho wanachokwenda kukivuna?.

Aliyeturoga keshakufa na hatujui kaburi lake lipo wapi.
Na kwa nini mashirika yetu yashindwe kujiendesha? Tatizo si ni usimamizi dhaifu wa serikali kuanzia rais. Yaani wanalea uzembe upigaji na ulaji rushwa. Hapa uelewe wanapowaleta kina Adani kuendesha mashirika ya taifa tunachosema ni uendelezaji tu wa ulaji rushwa. Mifano ipo tele.
 
Na kwa nini mashirika yetu yashindwe kujiendesha? Tatizo si ni usimamizi dhaifu wa serikali kuanzia rais. Yaani wanalea uzembe upigaji na ulaji rushwa. Hapa uelewe wanapowaleta kina Adani kuendesha mashirika ya taifa tunachosema ni uendelezaji tu wa ulaji rushwa. Mifano ipo tele.
Umekuwa ni utamadani wetu, hilo swali linawagusa mpaka wazazi wetu waliofanya kazi serikalini wakati wa awamu ya kwanza.

DPW wameongeza tija pale TPA, na yapo mashirika mengi ya kigeni yanakuja na ufanisi wenye uzoefu unaoweza kujulikana kupitia mitandao ya habari.
 
DPW wameongeza tija pale TPA, na yapo mashirika mengi ya kigeni yanakuja na ufanisi wenye uzoefu unaoweza kujulikana kupitia mitandao ya habari
Hujajibu hata siku moja kwa nini tusi binafsishe serikali ya Samia kwa hayo hayo mashirika toka nje kama unavyo rudia rudia humu JF kila siku.
Naona kwa sababu uijuayo mwenyewe, akili yako inaishia tu kwenye hayo mashirika, lakini haiwezi kamwe kuona ubovu uliopo huko huko serikalini na viongozi wake wote wakuu chini ya huyo Samia.

Kama DPWorld kaweza kufanya vizuri bandarini, kama unavyo dai wewe; kwa nini unaona ugumu wa kmwondoa Samia na serikali yake na tuwaweke hata hao hao DPWorld au wengine unao dhani wewe ndio wenye uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi zaidi (kwa manufaa ya nani?).
 
Hujajibu hata siku moja kwa nini tusi binafsishe serikali ya Samia kwa hayo hayo mashirika toka nje kama unavyo rudia rudia humu JF kila siku.
Naona kwa sababu uijuayo mwenyewe, akili yako inaishia tu kwenye hayo mashirika, lakini haiwezi kamwe kuona ubovu uliopo huko huko serikalini na viongozi wake wote wakuu chini ya huyo Samia.

Kama DPWorld kaweza kufanya vizuri bandarini, kama unavyo dai wewe; kwa nini unaona ugumu wa kmwondoa Samia na serikali yake na tuwaweke hata hao hao DPWorld au wengine unao dhani wewe ndio wenye uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi zaidi (kwa manufaa ya nani?).
Umwondoe Samia kisa mkataba mmoja wa DPW, huo utakuwa upunguani wa kiwango cha juu sana.

Samia anafanya kazi kubwa sana ya kuifungua nchi ukimuangalia katika muktadha wa chuki huwezi kuthamini chochote anachokifanya.
 
Umwondoe Samia kisa mkataba mmoja wa DPW, huo utakuwa upunguani wa kiwango cha juu sana.

Samia anafanya kazi kubwa sana ya kuifungua nchi ukimuangalia katika muktadha wa chuki huwezi kuthamini chochote anachokifanya.
EEEEeeeennnHEEEE!
"Mkataba mmoja wa DPW"?

Hivi kweli unaelewa kinacho jadiliwa humu kuhusu haya maswala?
Ndiyo, ninakubaliana nawe kwamba "anaifungulia nchi" kila aina ya uchafu uingie ndani.

Kwa bahati mbaya sana ni huyo huyo Samia mwenyewe anaye zidi kuueneza uchafu wa kila aina nchini.
Wewe hutaki kuona, kwa sababu ni sehemu ya uchafu huo huo.
 
EEEEeeeennnHEEEE!
"Mkataba mmoja wa DPW"?

Hivi kweli unaelewa kinacho jadiliwa humu kuhusu haya maswala?
Ndiyo, ninakubaliana nawe kwamba "anaifungulia nchi" kila aina ya uchafu uingie ndani.

Kwa bahati mbaya sana ni huyo huyo Samia mwenyewe anaye zidi kuueneza uchafu wa kila aina nchini.
Wewe hutaki kuona, kwa sababu ni sehemu ya uchafu huo huo.
Maendeleo hayapatikani kwenye nchi zinazojaa wapiga domo wengi. Mwalim Nyerere alikuwa na akili hizi hizi za Kalamu akiwa Rais lakini kuna miaka ikafika mambo yakazidi kuharibika, mwenyewe akasalimu amri. Alipoingia Mwinyi akakubaliana na SAP za Benki ya Dunia.

Magu alikomaza kichwa na watu wakawa wanaanza kuumia kiuchumi, Samia kaamua kufuata njia anazoamini na zitatufikisha mbali.

Bahati mbaya wanaopinga uchumi wa kisasa huwa hawana mawazo mbadala yenye tija kwa kiongozi mkuu, wanaishia kupinga tu, kwa maana hiyo hawafai hata kupewa kipaumbele.
 
Maendeleo hayapatikani kwenye nchi zinazojaa wapiga domo wengi. Mwalim Nyerere alikuwa na akili hizi hizi za Kalamu akiwa Rais lakini kuna miaka ikafika mambo yakazidi kuharibika, mwenyewe akasalimu amri. Alipoingia Mwinyi akakubaliana na SAP za Benki ya Dunia.

Magu alikomaza kichwa na watu wakawa wanaanza kuumia kiuchumi, Samia kaamua kufuata njia anazoamini na zitatufikisha mbali.

Bahati mbaya wanaopinga uchumi wa kisasa huwa hawana mawazo mbadala yenye tija kwa kiongozi mkuu, wanaishia kupinga tu, kwa maana hiyo hawafai hata kupewa kipaumbele.
Sijawahi kuona nchi yoyote iliyo jaa mafisadi ikiwa na ufanisi wowote.
Tanzania chini ya Samia imeingia hasara kubwa sana katika hii miaka michache aliyo shika madaraka.
 
Afrika tunalo tatizo la kutumika kwa ajili ya maslahi ya wakubwa fulani. DPW alipingwa na kanisa na unaweza kudhani kuwa kanisa ni safi na takatifu kumbe lilitumika kwa maslahi ya makundi makubwa ya wafanyabiashara.

Dangote anapigwa vita katika uwekezaji wa sekta ya mafuta anaoufanya kwao Nigeria, ni dunia iliyojaa kila aina ya umafia.
Kafulila amejitahidi kumtetea mtoa asali kiufundi
 

===
Billionaire wa Kihindi na tajiri namba mbili barani Asia Mr Gautam Adani anayetajwa pia kuwa ni miongoni mwamatajiri kumi ( 10 ) duniani anakabiliwa na tuhuma za kuahidi kutoa rushwa ya kiasi cha US$ 250M zaidi ya TZS 650bn ili apate kazi na Mikopo toka kwa mabanki na Wawekezaji wenzake kibiashara.

Billionaire Gautam Adani anatajwa kumiliki ukwasi wa zaidi ya US$ 85.5bn zaidi ya TZS 222.3trilioni ambazo ni zaidi ya Uchumi wote wa nchi ya TANZANIA wenye wasi wasi nae kuhusu uwezo wa Kiuchumi naomba waondoe hofu.

Mtakumbuka billionaire huyu hivi karibuni alionesha nia ya kuwekeza nchini Marekani kiasi cha US$ 10bn zaidi ya TZS 26 Trilioni kwenye sekta ya nishati akiahidi kutoa ajira za moja kwa moja kwa wamarekani zaidi ya 15,000 akitaraji kupata faida ya karibu US$2bn zaidi ya TZS 5.2trlioni ndani ya miaka 20 ijayo.

Billionaire huyo kwa kupita kampuni yake Adan Green Energy Ltd pamoja na kampuni ya Gridworks Development Partners LLP toka Uingereza kwa nyakati tofauti tofauti wameonesha nia ya kutaka kuwekeza kwenye mradi wa kusafirisha na kusambaza Umeme kwa gharama ya zaidi ya TZS 3.3Trilioni ikiwa ni baada ya Tanzania kuwa na Umeme wa ziada wa zaidi ya 600MW hii ni baada ya bwawa la Mwl Nyerere (JNHPP) kukamilika na kuanza kufua umeme wa zaidi ya 2,100MW na kuziba nakisi ya umeme iliyokuwepo kwa miongo mingi na hivyo kuilazimu Tanzania kuuza umeme nje ya nchi.
Kufuatia kashfa hii ya kibiasha ya makampuni ya billionaire Gautam Adani na yanayoendelea katika Mitandao ya Kijamii hasa jukwaa hili na vyombo mablimbali vya habari vya ndani na nje ya Tanzania hasa kwa kuishambulia Serikali ya TANZANIA na watendaji wake,

Haya ni maoni yangu,

1. Tuhuma hizi kwa Serikali ya Tanzania ni ama zimewahi ama hazina msingi wowote kwakuwa billionaire Gautam Adani hana mkataba wowote na Serikali ya Tanzania japo ameonesha nia ya kuwekeza kwa kutumia Sheria , kanuni na taratibu za PPPC.

2. Hata hivyo kinachomsibu Gautam Adani Kwa sasa ni tuhuma tu tena za Upande mmoja na kwa kuzingatia dunia hii ya mnyukano wa vita za Kiuchumi tusiende mbio kwenye lawama badala yake tujiuluze kwanini Marekani yenyewe imruhusu billionaire Gautam Adani awekeze kiasi Cha US$ 10bn na hivyo kutoa ajira zaidi ya 15,000 kwa wamarekani?

3. Hata hivyo, hakuna mahali Serikali ya Tanzania wala Mkurugenzi wa PPP Bw David Kafulila wamemtetea billionaire Gautam Adani au mwekezaji mwingine yeyote.

4. Kwa msiofahamu kazi mojawapo ya PPPC ni kuueleza umma wa Tanzania ( Public ) kuhusu uwekezaji na wawekezaji wenye nia ya kuwekeza kwenye PPP kwa kuzingatia zaidi masilahi mapana ya Taifa la Tanzania.

5. Lazima tufahamu kwanini PPPC anafanya hivi, lengo na nia ni kuufanya Umma ( Public) uelewe kila kitu tangu mwanzo kabisa wa mradi hasa kwenye hatua ya mwekezaji kuonesha nia badala ya Umma kuja kuletewa mkataba ulosainiwa bila kujua mchakato wa uwekezaji huo ulianza lini na kwa namna gani na masilahi kwa Taifa ni yepi hivyo kupoteza maana ya neno Public-Private

Tukumbuke Transparency ndio nguzo kuu katika ndoa yoyote ile ya PPP na faida yake ni hii Leo Watanzania wanamjadili Adani nje ndani ni kwa sababu wameshirikishwa mapema na kwa uwazi kabisa juu ya nia yake hiyo.

Pia soma Bilionea Gautam Adani ambaye Kafulila anataka kumpa shirika la TANESCO ashitakiwa kwa utapeli huko Marekani



#SAMIAMITANOTENA
Secretary Yuko magogoni! Ameziba masikio
 
Sijawahi kuona nchi yoyote iliyo jaa mafisadi ikiwa na ufanisi wowote.
Tanzania chini ya Samia imeingia hasara kubwa sana katika hii miaka michache aliyo shika madaraka.
Hasara za Samia unaweza kuzilinganisha na zile alizozisababisha hayati JPM?.

Kila siku tunalipa mabilioni ya pesa kwa makampuni ya kigeni kwa ujeuri wake katika mahusiano ya kibiashara.

Mkuu punguza kupumua huku moyo ukiwa umejawa na chuki.
 
Mwigulu bears overall political responsibility kwa Wizara, hawa akina Adan ni watu ambao Kafulila kila siku anawaita waje, kumbe Kafulila amenusa kwamba wa naweza kutoa rushwa ya dola milioni Mia mbili hamsini, na yeye atapata mgao
Kafulila unamjua vizuri lakini?
Kama alikataa Bil 3 akiwa kijana mdogo sebuse Leo?

Kuwa makini sana unapomtaja Kafulila kwenye mambo ya ajabu ajabu
 

===
Billionaire wa Kihindi na tajiri namba mbili barani Asia Mr Gautam Adani anayetajwa pia kuwa ni miongoni mwamatajiri kumi ( 10 ) duniani anakabiliwa na tuhuma za kuahidi kutoa rushwa ya kiasi cha US$ 250M zaidi ya TZS 650bn ili apate kazi na Mikopo toka kwa mabanki na Wawekezaji wenzake kibiashara.

Billionaire Gautam Adani anatajwa kumiliki ukwasi wa zaidi ya US$ 85.5bn zaidi ya TZS 222.3trilioni ambazo ni zaidi ya Uchumi wote wa nchi ya TANZANIA wenye wasi wasi nae kuhusu uwezo wa Kiuchumi naomba waondoe hofu.

Mtakumbuka billionaire huyu hivi karibuni alionesha nia ya kuwekeza nchini Marekani kiasi cha US$ 10bn zaidi ya TZS 26 Trilioni kwenye sekta ya nishati akiahidi kutoa ajira za moja kwa moja kwa wamarekani zaidi ya 15,000 akitaraji kupata faida ya karibu US$2bn zaidi ya TZS 5.2trlioni ndani ya miaka 20 ijayo.

Billionaire huyo kwa kupita kampuni yake Adan Green Energy Ltd pamoja na kampuni ya Gridworks Development Partners LLP toka Uingereza kwa nyakati tofauti tofauti wameonesha nia ya kutaka kuwekeza kwenye mradi wa kusafirisha na kusambaza Umeme kwa gharama ya zaidi ya TZS 3.3Trilioni ikiwa ni baada ya Tanzania kuwa na Umeme wa ziada wa zaidi ya 600MW hii ni baada ya bwawa la Mwl Nyerere (JNHPP) kukamilika na kuanza kufua umeme wa zaidi ya 2,100MW na kuziba nakisi ya umeme iliyokuwepo kwa miongo mingi na hivyo kuilazimu Tanzania kuuza umeme nje ya nchi.
Kufuatia kashfa hii ya kibiasha ya makampuni ya billionaire Gautam Adani na yanayoendelea katika Mitandao ya Kijamii hasa jukwaa hili na vyombo mablimbali vya habari vya ndani na nje ya Tanzania hasa kwa kuishambulia Serikali ya TANZANIA na watendaji wake,

Haya ni maoni yangu,

1. Tuhuma hizi kwa Serikali ya Tanzania ni ama zimewahi ama hazina msingi wowote kwakuwa billionaire Gautam Adani hana mkataba wowote na Serikali ya Tanzania japo ameonesha nia ya kuwekeza kwa kutumia Sheria , kanuni na taratibu za PPPC.

2. Hata hivyo kinachomsibu Gautam Adani Kwa sasa ni tuhuma tu tena za Upande mmoja na kwa kuzingatia dunia hii ya mnyukano wa vita za Kiuchumi tusiende mbio kwenye lawama badala yake tujiuluze kwanini Marekani yenyewe imruhusu billionaire Gautam Adani awekeze kiasi Cha US$ 10bn na hivyo kutoa ajira zaidi ya 15,000 kwa wamarekani?

3. Hata hivyo, hakuna mahali Serikali ya Tanzania wala Mkurugenzi wa PPP Bw David Kafulila wamemtetea billionaire Gautam Adani au mwekezaji mwingine yeyote.

4. Kwa msiofahamu kazi mojawapo ya PPPC ni kuueleza umma wa Tanzania ( Public ) kuhusu uwekezaji na wawekezaji wenye nia ya kuwekeza kwenye PPP kwa kuzingatia zaidi masilahi mapana ya Taifa la Tanzania.

5. Lazima tufahamu kwanini PPPC anafanya hivi, lengo na nia ni kuufanya Umma ( Public) uelewe kila kitu tangu mwanzo kabisa wa mradi hasa kwenye hatua ya mwekezaji kuonesha nia badala ya Umma kuja kuletewa mkataba ulosainiwa bila kujua mchakato wa uwekezaji huo ulianza lini na kwa namna gani na masilahi kwa Taifa ni yepi hivyo kupoteza maana ya neno Public-Private

Tukumbuke Transparency ndio nguzo kuu katika ndoa yoyote ile ya PPP na faida yake ni hii Leo Watanzania wanamjadili Adani nje ndani ni kwa sababu wameshirikishwa mapema na kwa uwazi kabisa juu ya nia yake hiyo.

Pia soma Bilionea Gautam Adani ambaye Kafulila anataka kumpa shirika la TANESCO ashitakiwa kwa utapeli huko Marekani



#SAMIAMITANOTENA
Tanzania baadhi ya wanaopewa dhamana wanatumia miwani ya mbao, a.k.a kujizima data
 
Back
Top Bottom