Gavana Luoga akitoa takwimu za mchango wa kanda ya ziwa kwenye uchumi wa Tanzania

Gavana Luoga akitoa takwimu za mchango wa kanda ya ziwa kwenye uchumi wa Tanzania

We pimbi wa makete hapo makete kuna nini zaidi ya UKIMWI na ufakara uliotopea!
Tumbavu, mtu umepauka miguu imeliwa funza afu unakuja hapa unabana pua kuita watu maskini!. Nyambafu!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] umeishiwa hoja,usilinganishe wakinga na vitu vya kijinga
 
Ukiwa na darasa lako la wanafunzi 10 halafu wote wakapata daraja la tatu kitakwimu utamzidi yule mwenye darasa la watu 100 halafu 20 wamepata daraja la kwanza, wengine la pili, tatu na 10 wana sifuri.

Idadi ya watu pia inarudisha nyuma takwimu.

Usikariri tu kanda ya ziwa ni masikini bila kuangalia idadi ya watu. Kukiwa na watu wengi hata masikini wanakuwa wengi vile vile.
Sasa watu wanazaana hovyo kama wanyama then unategemea nini
 
Mkuu population ya mkoa Kama njombe ni ndogo Sana sidhani Kama wanafika hata one million. Ndo maana mkihesabiwa per capita njombe inaonekana kuwa juu kulinganisha na mikoa ya Kanda ya ziwa Kama mwanza na kagera iliyonyuma ya dar kwa population na density. Lakini kihualisia huwezi linganisha maisha ya watu wanaoishi bwiru,capripoint,busweru au kisesa mwanza au hata vijiji vya wahaya huko muleba,misenyi au kamachumu na mkoa wenu wa njombeView attachment 1818666View attachment 1818667
Tunahesabiwa from where si kwenye kile tulichozalisha au?

Na nyie mnahesabiwa kutoka mlichozalisha,sasa mnapozaana hovyo huku tija yenu ni ndogo nani alaumiwe?

Lake zone ingekuwa nchi mngekuwa failed state kama Nigeria
 
Mimi sioni cha ajabu hapa maana ni sehemu kubwa sana ambayo inaitwa kanda ya ziwa kuanzia huku Musuma mpaka akagera ni mbali sana ! vilevile kuna watu wengi sana. Lakini uchumi wa Tanzania haupimwi kwa kanda na hatuna majimbo Tanzania mfano Bukoba ni tofauti na Mara lakini kwasababu ya ziwa wanaitwa kanda ya ziwa
Sasa kamuulize gavana
 
Sasa kamuulize gavana

Ni data za kijinga sana unalinganisha mikoa zaidi ya mitano na mikoa miwili ya kati! . Kipimo cha ukweli ni kuchukua uchumi wao wote na kugawanya na idadi ya watu ili tujue kila Mtanzania wa sehemu hivyo anachangia kiasi gani. Mfano China ina kipato zaidi ya Japan lakini wa japan wananchi wake wana kipato kikubwa sana kulinganisha na china maana China ina watu wengi sana.
 
Sasa watu wanazaana hovyo kama wanyama then unategemea nini
Nasikia huko Kilimanjaro wazee wanauliwa kama kuku ili vijana warithi vihamba. Wanawake mpaka wanaenda kukodi wanaume Kenya wawaoekeee motooooo🔥🔥🔥🔥🔥

Vijana nao hali mbaya, wamebaki kukimbia kimbilia mikoa ya watu, wengine mpaka wanafir***w siku hizi.
 
Umeanza kujivunia kabila na maeneo wakati wewe mwenyewe hata huna mchango wowote wa maendeleo. Tusipende kudandia maisha mazuri kwa sababu tu kabila lako ana nyumba ya ghorofa! wewe mwenyewe una nini? Jiulize Mwamposa aliwezaje kuwakanyagisha mafuta? Ni ugumu wa maisha tu ndo unamfanya mtu aamini miujiza.
[emoji28][emoji28][emoji28] eti mwamposa .


Ila watu wa Moshi walizingua[emoji28][emoji28] waliokufa walizidi Hadi waliokufa kwenye tetemeko la 2016 la bukoba
 
Tunahesabiwa from where si kwenye kile tulichozalisha au?

Na nyie mnahesabiwa kutoka mlichozalisha,sasa mnapozaana hovyo huku tija yenu ni ndogo nani alaumiwe?

Lake zone ingekuwa nchi mngekuwa failed state kama Nigeria
Mfano tu njombe inazalisha Nini zaidi ya mkoa wa kagera? Labda miti tu?

Kagera wanazalisha ndizi 64%,kahawa55%,vannilla 80%,miwa Sukari 35%, samaki kupitia uvuvi,maharage 36%,chai ,bado biashara za mipakani nk nk
 
Mfano tu njombe inazalisha Nini zaidi ya mkoa wa kagera? Labda miti tu?

Kagera wanazalisha ndizi 64%,kahawa55%,vannilla 80%,miwa Sukari 35%, samaki kupitia uvuvi,maharage 36%,chai ,bado biashara za mipakani nk nk
Atakuambia avocado[emoji1649] za mia mbili mia mbili.
 
Yap, hata karagwe zipo nyingi tu, ila mtu mfupi mbishi maskini wa makete Opportunity Cost atabisha.
Makete hakuna maskini,maskini mnapatikana huko kanda ya ziwa ukiwemo wewe ndio maana unahangaika tuu hapa.Kama zipo huko Karagwe mbona hatuoni zikiwanufaisha na kuwatoa kwenye kuongoza kwa umaskini kama kwetu Makete/Njombe?
 
Gavana Luoga ametoa takwimu za mchango wa kanda ya Ziwa kwenye uchaguzi wa Tanzania.

Mwaka 2019, kanda ya ziwa ilichangia Trilioni 34 kwenye uchumi wa Tanzania sawa na 25.9% ya pato la Taifa.

Kanda ya ziwa inazalisha zaidi ya 90% ya dhahabu Tanzania.

Kanda ya ziwa inazalisha zaidi ya 50% ya pamba na kahawa inayouzwa nje ya nchi.

Kanda ya ziwa inazalisha zaidi ya 95% ya mauzo ya samaki ndani na nje ya nchi.

Kanda ya ziwa inavutia zaidi ya 80% ya watalii ama mapato ya utalii Tanzania. Kwa maana kwamba Serengeti national park hutembelewa na zaidi ya 80% ya watalii wanaokuja Tanzania. Bila Serengeti utalii Tanzania ni kama haupo. Bila Serengeti wazungu tutaishia kuwaona kwenye tv.

Mwisho na kwa umuhimu wa wanasiasa, kanda ya ziwa ina wapiga kura wengi kuliko kanda yoyote ile Tanzania. Kanda ya ziwa ina determine urais wa nchi hii hivyo wanasiasa chagueni maneno na kauli zenu kuhusu watu wa kanda ya ziwa.


UPUUZI
 
Maneno unayotumia hayana kipimo. Unaposema teuzi nyingi ziliegemea kanda ya ziwa unaweza ukasema nyingi maana yake ni nini? Wateule wa rais ni mawaziri na manaibu wao, makatibu wakuu na manaibu wao, wakurugenzi, makamishna.... Hebu endelea kwa mtindo huo, halafu useme kama kweli ni kanda ya ziwa.

Miaka kadhaa Wachaga walituhumiwa kujazana TRA na CRDB na hakika hadi mameneja wa matawi walihesabiwa kwa ukabila wao. Tulipouliza tuliambiwa eti wamesoma sana. Sasa hivi elimu hiyo imetoweka? Kusoma ili kuajiliwa TRA? Yaani certificate za chuo cha kodi, siyo hata PhD? Sasa kuna kigezo gani cha kulalama?
Huyo Mungu ameona amuondoe duniani kwa muda huu na yeye Mungu kuna alichokiona ambacho sisi hatukufahamu na jina lake lihimidiwe kwani kazi yake haina makosa.
 
Kuhusu population, kilimanjaro ni mkoa mdogo kuliko mikoa yote na ina watu zaidi ya 1.6mil, wakati shinyanga ina watu 1.5mil.
 
Back
Top Bottom